Ridhiwani kugombea ubunge Chalinze

Ridhiwani kugombea ubunge Chalinze

wanajamvi!!
Mtoto wa rais wa jamhuri ya muungano ya Tanzania mh Jakaya Mrisho Ridhiwani Kikwete kugombea ubunge jimbo la chalinze kwa tiketi ya ccm.Habar za uhakika nikwamba tayar ameshakutana na wazee wa chalinze kupata baraka zao zote,habari nikwamba amekuwa akionekana jimboni chalinze kila uchao kutafuta kuungwa mkono

Haiwezekani ....hawezi kugombea majimbo mawili kwa wakati mmoja...yaani agombee Chalinze pia agombee na Morogoro Mjini..!?
 
atapita tu, maana watu wa chalinze hawana matatizo na ccm, tena kama huyo ndio balaa mtoto wa Rais, tena kwao ni msoga tu.
 
wanajamvi!!
Mtoto wa rais wa jamhuri ya muungano ya Tanzania mh Jakaya Mrisho Ridhiwani Kikwete kugombea ubunge jimbo la chalinze kwa tiketi ya ccm.Habar za uhakika nikwamba tayar ameshakutana na wazee wa chalinze kupata baraka zao zote,habari nikwamba amekuwa akionekana jimboni chalinze kila uchao kutafuta kuungwa mkono

So.......??? Hata wewe kama unasifa rukhsa kagombee
 
Habari za uhakika kabisa ni kwamba katika uchaguzi mdogo wa ubunge jimbo la Chalinze chama cha mapinduzi kitamsimamisha Kada wake rizione Kikwete Kama mgombea wake iLi ipate ushindi wa kimbunga, atakuwa amefuata nyayo za baba yake ambaye alikuwa mbunge wa jimbo Hilo kabla ya kuingia ikulu.. Kila la kheri bwana Riz..!
 
Hakuna kitu hapo... cheki bunge wewe JUSSA anafanya mambo..
 
Habari za uhakika kabisa ni kwamba katika uchaguzi mdogo wa ubunge jimbo la Chalinze chama cha mapinduzi kitamsimamisha Kada wake rizione Kikwete Kama mgombea wake iLi ipate ushindi wa kimbunga, atakuwa amefuata nyayo za baba yake ambaye alikuwa mbunge wa jimbo Hilo kabla ya kuingia ikulu.. Kila la kheri bwana Riz..!

Tunafuatilia mambo muhimu wewe unatuletea mambo ya wauza sembe! Nyambafu
 
hapa hakuna lolote zaidi ya nguvu ya fedha ,kubebwa ndio itakayompa ushindi.
binafsi ningekuwa mimi nisingekubali kugombea ubunge kwa sasa ningefanya hivyo baada ya miaka 15 baada ya baba kutoka mjengoni.
we angalia watoto wa wakubwa waliofuata taratibu wameingia kwenye madaraka baba zao wameshatoka na wamebaki kama washauri.
ubunge utapata ila amini usiamini hauwezi kuwa na thamani sawa kwa wananchi ukilinganishwa na uwenyekiti wa mtaa wa kuchaguliwa na wananchi bila shinikizo.
thamani haitakuwa sawa hivyo hatakuwa na uwezo wa kuaminiwa kivileee!
hivyo kuwa makini dogo we endelea kutafuta pesa na zaidi fedha halali isiyo na malalamiko ya dhuruma popote pale.
 
Kesho kutwa kura za maoni na mpaka sasa wagombea wengine wanampango wakujitoa na kumuunga mkono Riz moko.. Big up unaweza kuwawakilisha vyema wana Chalinze na pengine siku za mbeleni na wewe ukaingia ikulu kuendelea kufuata nyayo za mshua...atashinda kwa kishindo bila wasiwasi wowote..!
 
Kama ni kweli, yeye kama raia mwingine yoyote wa Tanzania, ana haki kushiriki kugombea nafasi yoyote ya uongozi, toka serikali za mtaa hadi serikali kuu, kwa mujibu wa katiba!.
Namuunga mkono kwa asilimia 100%!, pia nawashauri wale wenzangu na mimi kumhusu "jamaa yetu" yulee tuelekeza nguvu kwa kijana huyu, akishinda atakumbuka fadhila, hivyo muda utakapowadia, itakuwa ni zamu yetu!.

Pasco
 
Kama ni kweli, yeye kama raia mwingine yoyote wa Tanzania, ana haki kushiriki kugombea nafasi yoyote ya uongozi, toka serikali za mtaa hadi serikali kuu, kwa mujibu wa katiba!.
Namuunga mkono kwa asilimia 100%!, pia nawashauri wale wenzangu na mimi kumhusu "jamaa yetu" yulee tuelekeza nguvu kwa kijana huyu, akishinda atakumbuka fadhila, hivyo muda utakapowadia, itakuwa ni zamu yetu!.

Pasco

Some times intellectual yako Pasco ni hopeless kabisa!!! Unawaza kujuana na kulipana fadhila,maslahi ya Taifa,vizazi vijavyo na watanzania maskini yatalipwa na nani??!!

Mkiambiwa waandishi mmekuwa machangudoa wa wanasiasa na mafisadi mnang'aka na kuja na maneno ya kujibaraguza,mkiambiwa mmeweka matumbo mbele kwa kutenda kwa minajili ya brown envelopes na U-DC mnajitetea kwa hoja za kipuuzi!!!! Long live kwa wazalendo wa kweli!!
 
Mwidu bora kabisa heshima yako mkuu!

Nimepata ujumbe wako kila la heri bwana Ritz! Kwa hakika wewe hauna mpinzani chalinze
 
Some times intellectual yako Pasco ni hopeless kabisa!!! Unawaza kujuana na kulipana fadhila,maslahi ya Taifa,vizazi vijavyo na watanzania maskini yatalipwa na nani??!!

Mkiambiwa waandishi mmekuwa machangudoa wa wanasiasa na mafisadi mnang'aka na kuja na maneno ya kujibaraguza,mkiambiwa mmeweka matumbo mbele kwa kutenda kwa minajili ya brown envelopes na U-DC mnajitetea kwa hoja za kipuuzi!!!! Long live kwa wazalendo wa kweli!!
Mkuu Moudy, kwanza asantekwa kudhani mimi ni intalekchuali, kwa vio hivyo, hiyo hopuless ndio halali yangu.
Hili la kuweka matumbo mbele, unatusingizia, tumezaliwa na kukuta tumbo liko mbele, hivyo sio sisi tulio liweka!, Vipi mwenzetu tumbo lako liko nyuma?!, au pembeni?!.

Zile BE, nilizipokea sana, sasa mimi ndio msambaza!.
Pasco.
 
Kama ni kweli, yeye kama raia mwingine yoyote wa Tanzania, ana haki kushiriki kugombea nafasi yoyote ya uongozi, toka serikali za mtaa hadi serikali kuu, kwa mujibu wa katiba!.
Namuunga mkono kwa asilimia 100%!, pia nawashauri wale wenzangu na mimi kumhusu "jamaa yetu" yulee tuelekeza nguvu kwa kijana huyu, akishinda atakumbuka fadhila, hivyo muda utakapowadia, itakuwa ni zamu yetu!.

Pasco

Najua na wewe ni TeamLowasa ili akiukwaa uprezidaa akukumbuke katika ufalme wake wa magogoni hasa katika kitengo cha uSalva Rweyemamu.
 
Najua na wewe ni TeamLowasa ili akiukwaa uprezidaa akukumbuke katika ufalme wake wa magogoni hasa katika kitengo cha uSalva Rweyemamu.

Subira yavuta heri. Wana Chalinze watapata ubwabwa na pweza au?
 
Huyu jk si nasikia anataka tanzania nzima itawaliwe na familia yake!ndo maana nasikia kila kona kuna mtoto wake na mama zao ndo wale ma dc wa k...naona kaanza na Ritzone
 
wanajamvi!!
Mtoto wa rais wa jamhuri ya muungano ya Tanzania mh Jakaya Mrisho Ridhiwani Kikwete kugombea ubunge jimbo la chalinze kwa tiketi ya ccm.Habar za uhakika nikwamba tayar ameshakutana na wazee wa chalinze kupata baraka zao zote,habari nikwamba amekuwa akionekana jimboni chalinze kila uchao kutafuta kuungwa mkono
Baba rais, mtoto wazr wa feza, mama .....
Kamchezo kazr hako, ngoja tuone! Uzima ndo mhim
 
Back
Top Bottom