TUJITEGEMEE
Platinum Member
- Nov 6, 2010
- 27,289
- 27,999
wanajamvi!!
Mtoto wa rais wa jamhuri ya muungano ya Tanzania mh Jakaya Mrisho Ridhiwani Kikwete kugombea ubunge jimbo la chalinze kwa tiketi ya ccm.Habar za uhakika nikwamba tayar ameshakutana na wazee wa chalinze kupata baraka zao zote,habari nikwamba amekuwa akionekana jimboni chalinze kila uchao kutafuta kuungwa mkono
Haiwezekani ....hawezi kugombea majimbo mawili kwa wakati mmoja...yaani agombee Chalinze pia agombee na Morogoro Mjini..!?