Wewe kweli shetani mweusi usitake kuuadaa umma na hizo porojo zenu mnakesha mitandaoni kuwasifia mabwana zenu ili tu mkono uende kinywani,
1. Katoa baiskel 260 kwa wanaCCM kwa hiyo hayo ndio maendeleo?
2. Kuhusu umeme labda ungetuambia katika jimbo analoliongoza kuna vijiji vingapi vyenye umeme na vingapi havina umeme na anatarajia kupeleka umeme katika vijiji vingapi na shughuli hiyo imefikia hatua gani hadi sasa.
3. Kwa kuwa baba yake alikuwa mbunge na waziri katika jimbo hilo alifanya yepi makubwa? hauoni kuwa kwa nguvu nyingi zilizotumika na Familia na taasisi ya Urais kumpigia kampeni inawezekana kabisa kutokana na aibu ya kutotekeleza ahadi zake nyingi baba yake kwa sasa anatumia nguvu na fedha za Ikulu kumsaidia mtoto wake ili kumlinda kwa kanafasi hako alikokapata ka Ubunge?