Ridhiwani Kikwete na speed ya maendeleo Chalinze

Ridhiwani Kikwete na speed ya maendeleo Chalinze

kwa ukaribu wa hilo jimbo na Dar halikustahili hata kuwa hapo lilipo kimaendeleo, kwa mtu mwenye kuhusishwa na wizi nautajiri uliopindukia kutoa baiskeli ni dhihaka, angepeleka ambulance ktk kila zahanati na vifaa vya matibabu vyote angalau tungeelewa, umeme wa REA utaenda hata ktk majimbo ya wapinzani siyo la kumsifu na kibaya zaidi ni ukaribu na Mkuu wa nchi kunauwezekano hata upendeleo ukatokea kwa uwoga tuu wa wateuliwa.
 
Ndiyo maana umekula ban. Tunataka maendeleo ya watu (Human Development) si ya vity. Unataka kuniambia akiugua atatibiwa na hiyo baiskeli, atakula hiyo baiskeli, mwanaye atasomeshwa na hiyo baiskeli. Human Development Vs Material/Phyical Development!!! Nyambafu.
 
Back
Top Bottom