shetani mweusi
Senior Member
- Jun 30, 2014
- 132
- 116
Ni kama ndoto wachambuzi wa siasa wanasema huenda ridhione kikwete atafanya makubwa katika jimbo la chalinze kuliko waliomtangulia kwani katika mdaa mfupi ametekeleza mambo mazito makubwa Mengi shule za bordingi zimegawiwa vitanda,
Umeme unasambaa kata zote vijijini na wakazi 700 wa jimbo hilo vijijini kupata umeme kabla ya novemba mwaka huu
Kwa upande wa secta ya afya mashine za kisasa zinagawiwa katika kila hosipitali huku makazi ya waalimu yakiboreshwa huku vijiji vilivyofungwa mdaa mrefu kufunguliwa kwa barabara
Nilipopata kuongea na ------ mmoja maeneo ya msata amekiri kua mbunge kama ridhione hajatokeaga...kila mwezi yupo ziarani tunakutana nae anapokea simu zote kwa kweli tumepata mbunge Mungu ampe maisha marefu
Alisema ole tete kwesu kijana wa kimasai hata kwetu umasaini anakuja mara kwa mara kutatua migogoro yetu na kutusaidia kutafta soko bora la mifugo .....
Umeme unasambaa kata zote vijijini na wakazi 700 wa jimbo hilo vijijini kupata umeme kabla ya novemba mwaka huu
Kwa upande wa secta ya afya mashine za kisasa zinagawiwa katika kila hosipitali huku makazi ya waalimu yakiboreshwa huku vijiji vilivyofungwa mdaa mrefu kufunguliwa kwa barabara
Nilipopata kuongea na ------ mmoja maeneo ya msata amekiri kua mbunge kama ridhione hajatokeaga...kila mwezi yupo ziarani tunakutana nae anapokea simu zote kwa kweli tumepata mbunge Mungu ampe maisha marefu
Alisema ole tete kwesu kijana wa kimasai hata kwetu umasaini anakuja mara kwa mara kutatua migogoro yetu na kutusaidia kutafta soko bora la mifugo .....