PostGE2025 Ridhiwani Kikwete: Ikulu ya Tanzania ilikuwa madrassa zamani

PostGE2025 Ridhiwani Kikwete: Ikulu ya Tanzania ilikuwa madrassa zamani

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections

mwehu ndama

JF-Expert Member
Joined
Nov 12, 2019
Posts
1,413
Reaction score
5,150
Ajenda ya udini inazidi kusukumwa mdomdo na watawala, na mara hii Ridhimoko amesukuma kete nyingine kwa lengo la kuuteka umma wa wanazuoni wa kiislamu, wataalam wa eiilimu duuniya, na mambo ya Dua na daahawa!!.
NB: huu ni ungese , sijui lengo lao ni nini sasa

 
Binafsi mimi naona sasa kwa hapa tulipofikia kabla hatujaendelea mbele zaidi, hebu hii nchi tuigawane tu...

..tuigawe kati kati tu waislamu wachukue kipande chao na sisi wakristo tuchukue kipande chetu...

Tunajua ukanda wa pwani wote mpaka huko kusini Mtwara ni kwa waislamu, tutawaongezea na Dodoma ile, kisha na wao watatuachia Tabora.

Baada ya hapo wakristo tutaweka utawala wetu tunaoutaka...

...na waislamu wakaweke utawala wao wa Kisultan ambapo wataongozwa na familia ya Samia na Kikwete mpaka kiama cha maisha yao.

Kwa kufanya hivi amani ya kweli ya kudumu itakuwepo kwa mataifa teule yote mawili.
 
Back
Top Bottom