Habari ya Mujini
JF-Expert Member
- Dec 22, 2013
- 2,517
- 1,043
kweli kazi tunayo,mbona hajawataja sumaye,sita na mwandosya lakini?
Hawana sifa...!!
kweli kazi tunayo,mbona hajawataja sumaye,sita na mwandosya lakini?
2015 ni mwaka Wa kizazi kipya
Mi ccm inawaza urais tuu!hizi demokrasia za kutawala miaka 10 ni hasara kwa nchi za kimasikini
I aksed my self the same question!huyu dogo ameongea kaiwa kama nani????
...maajabu haya kumbe CCM ina wenyewe ni kauli ya ukweli kabisa!Ridhiwani hawezi kunisaidia mimi,baba yangu wala ndugu yangu sb hana issue nasi,alimsaidia membe ili ampe uwaziri akiwa rais huo ndio ukweli na membe ndio chaguo la mzee pia,hakika vyeo hivi vya kupeana na kupokezana kama ile riadha ya vijiti hakika safari hii hatuta kubali,hii ni nchi yetu sote,kama hivyo afadhali yai livunjike.
Jamani mbona Hajamtaja mtu Ambae anatarajiwa kuwa ndio kiongizi msafi asie na makundi,ambae watu wengi wanatajia kuwa ndio atakuwa mrithi wa kikwete ambae ni Mh waziri mkuu wa Tanzania Mizengo Peter Pinda.
ANAWATAJA AKIWA KAMA NANI NDANI YA CHAMA,JE CHAMA KIMEMRUHUSU KUFANYA HIVYO,AU NI MAONGEZI WAYAFANYAYO NA BABA YAKE,KWELI CCM IMEKOSA UTAWALA WA KIPROTOCALY,NADHANI HI HAIKUWA KAZI YAKE KUZUNGUMZA LOLOTE KUHUSUANA NA HILO "the family has capture the govenment to its pocket why so?
Huyu mtoto ni mjinga tu.