Sasa, Mamlaka ya Elimu ya Juu (or whatever its called) ina maana gani kumtumia R J Kikwete kwenye hili tangazo? Hata kama wana nia njema, WHO IS RIDHIWANI KIKWETE???
Sasa yale mambo ya maana ya kutumia wasanii wenye influence katika jamii ndio wanaweka watoto wa viongozi.
Nonsense!
Hebu wandugu mjiulize yale mapesa walikuwa wakichangushana ili kukomba jimbo la moshi si wangesaidia watoto hawa?
Au nakosea wandugu? Hebu tukubaliane basi
Hebu wandugu mjiulize yale mapesa walikuwa wakichangushana ili kukomba jimbo la moshi si wangesaidia watoto hawa?
Au nakosea wandugu? Hebu tukubaliane basi
Ni mtoto wa mfalme, ni kijana ambaye ana influence kuliko vijana wote, msomi kuliko vijana wote, ana kazi nzuri na anayefuata nyayo za Baba
Ikumbukwe ma architectures wa haya mambo wanajikomba kwa mzee na kwakuwa Nchi ishakuwa ya kifalme dogo lazima aingie kwenye siasa ili one day aje kukalia kiti cha mzee by the way wametoka kwenye familia ya kichief - Tz kila kitu kinawezekana ili mradi tu uwe connected
Re: Ridhiwani JK, ona na hawa!! Originally Posted by Prodigal Son Ni mtoto wa mfalme, ni kijana ambaye ana influence kuliko vijana wote, msomi kuliko vijana wote, ana kazi nzuri na anayefuata nyayo za Baba Ikumbukwe ma architectures wa haya mambo wanajikomba kwa mzee na kwakuwa Nchi ishakuwa ya kifalme dogo lazima aingie kwenye siasa ili one day aje kukalia kiti cha mzee by the way wametoka kwenye familia ya kichief - Tz kila kitu kinawezekana ili mradi tu uwe connected
Ongezea ana madaraka kuliko baadhi ya Mawaziri!