Ridhiwani apotezwa Chalinze

Ridhiwani apotezwa Chalinze

Chadema kiama chenu kimefika;
sijui hata hii aibu mtaibebaje.
 
Huyu mwuza madawa ya kulevya akishinda Chalinze kwakweli nitawashangaa wapiga kura. Dogo mabilioni yote anayoyakusanya kwenye unga hata barabara moja hajaweza kuijenga, anawaona wanaChalinze kitega uchumi ..... upumbavu mwanzo mwisho

hayakuhusu hayo naona na ww unawashwa tu
 
Chadema wanahangaika tu wiki ijayo watakuja na lawama kuwa taftari alijaboreshwa.

'taftari' ndio kitu gani? au ulikuwa unataka kuandika 'futari'? a twit at work!
 
sina uhakika kama familia hii ya mzee wa kaya ina mshauri mzuri katika maswala ya siasa na uchumi kwa jumla. katika hali ya kawaida sidhani kama ilikuwa ni busara kwa kikwete kumkubalia mwanae akagombee ubunge kipindi hiki alitakiwa angalau agombee miaka kumi baadaye na sio sasa.
ninahokiona hapa ni nguvu yapesa na madarka ya baba ok bunge atpata lakini awezi kuwa na heshima sahili kama mbunge watu wataanglia fedha na si yeye
 
Back
Top Bottom