morenja
JF-Expert Member
- Feb 3, 2012
- 4,519
- 1,851
Na kweli ni kama wame take cover mbele .hakuna majibu toka nyuma yatakao kuwa tofauti na ya mbelee .bila kusahau take cover mkuu .Tuko vizuri tembeeni kifua mbeleeHapo hata wakija hao wataalamu hawawezi kutoa majibu tofauti na mabosi wao hata kama wana ukweli fulani wataogopa kuwaumbua mabosi (mawaziri) wao. Awamu hii ni kituko juu ya kituko. Kila mmmoja anataka aje na kituko chake.