Vito Corleone
JF-Expert Member
- Apr 4, 2023
- 2,417
- 5,273
Huyu ni wa kwetu kabisa,the laziest *** ...Hata jina lake naskia ni Erick rozimaria temba,kazaliwa Uru Moshi
situlikubaliana nyie mnaangalia helaa tuu?Umbo lake huyu jamaa ni kama halina mvuto kidogo eti?
😂😂😂ndiyo Mkuu🙌situlikubaliana nyie mnaangalia helaa tuu?
😂😂acha ukorofi bhana😝Umekwisha tamani, aisee ila mtaendana
Hela zake sasa ndo electromagnetic kabisaUmbo lake huyu jamaa ni kama halina mvuto kidogo eti?
😘ana mapesa huyo balaaHela zake sasa ndo electromagnetic kabisa
hahaha pesa ndio kila kitu kitu mnasemaga wenyewe ,😁😁😘ana mapesa huyo balaa
Ivo yaan😉hahaha pesa ndio kila kitu kitu mnasemaga wenyewe ,😁😁
hela mbaya sana Kuna mwanangu alikua anaruka na lishangazi lina mandevu kama Rick Ross ila Lina mapene balaa likawa linamtumikisha mwana kingono 😁😁Ivo yaan😉
Na unapelekeshwa mbaya ukifanya mtamu😝 siye mashangazi ni nomahela mbaya sana Kuna mwanangu alikua anaruka na lishangazi lina mandevu kama Rick Ross ila Lina mapene balaa likawa linamtumikisha mwana kingono 😁😁
Halafu huyu jamaa atakuwa mnyaki wa U.S😂😂acha ukorofi bhana😝
Sio wallet yake ilichangia hilo... (natania tu )....😂😂kuna mrembo wa ki tz alilizimikia akafa akaozea hapo. Huyo mrembo ni mrembo hasa alilipenda umbo la rick ross