Anaingia saa 4 usiku.Nina complimentary mbili nataka nitoe zawadi kwa anayetaka kwenda kumwona huyu mzeya LIVE.Ukiweza 2 kunambia Rick Ross alizaliwa mwaka gani nakutwanga na Complemetary fasta.Niko serious sitanii km ww ni fani wake changamka fasta ulambe moja.
Wa kwanza huyo kajaribu sitaki kutoa jibu au kusema kapatia au kakosea mpaka nimpate mshindi wa pili.Fanya fasta mkuu ulambe complimentary hakuna rongorongo
Mkuu km utakua umepatia na mshindi wa pili hasipopatikana basi utalamba complementary zote mbili ili uje na mkeo au kama huna mke utakuja na demu wako na kama huna demu basi utakuja na mchizi yeyote.Breaking newz zinasema tayari mzeya ameshatua ndani ya Mwl.Nyerere international airport usiku huu.
Rick ross anaingia na klm around saa 5 usiku,, alitweet jana kuwa kwenye tweeter account kuwa ndo anaingia kwenye KLM miami florida tayari kwa safari ya kuja dar es salaam Tanzania, so nazan by saa 4 to saa 5 usiku atatua JKN dar es salaam...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.