stakehigh
JF-Expert Member
- Aug 9, 2019
- 6,379
- 3,492
baada ya kupata mda kidogo leo, nkaona nipitie taarifa kuhusu uchumi wa dunia unavoenenda kila siku na nkakutana na hii taarifa, hii imenipa hamasa ya kuja kuuliza apa forum:
Je ni kweli serikali ni ya kulaumiwa kwa sababu watu maisha yao ni duni? waliopata elimu mpaka vyuo vikuu, wengine wakaenda nje ya nchi kusoma wanakwama wap wanavojiunga na wengine amabo hawajasoma kutupia lawama serikali ilihali kuna watu wana uchumi mkubwa kuliko serikali?