Mama Sabrina
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 16,621
- 27,567
Anaemkumbuka huyu jamaa jamani alitesa enzi zile anatua bongo na migari mikali mikaliii ,alikuwa na body zurii ,sasa hivi sijui anafanya nini bongo,ila pesa makaratasi nampa heko pia mkewe kwa kua na mumewe mpaka leo maana waanawake wengine wangekimbia baada ya pesa kukata
Asingekuwa na uroho wa pesa sasa hivi wangekuwa zao kiwanja bado
Asingekuwa na uroho wa pesa sasa hivi wangekuwa zao kiwanja bado