Riba kwenye benki zetu (twiga na postal bank)

kipoke KIPOKE

Member
Apr 20, 2015
54
9
Waziri MPANGO Hapa kazi tu naona inakuja kivingine Hebu tupia macho kwenye riba zinazotolewa na mabenki yetu haya kama Postal Bank ,Twiga bank corp na wengine, nimejaribu kufuatilia riba inayotozwa ni kati ya 40%mpaka 50% ukikopa tshs 15,000,000/= kwa miaka mitano unalipa 29,000,000/= hapa kazi tu ndio tafsiri yake?hebu pitia uangalie majipu mengi sana wafanyakazi wa serikali tutateseka sana kama hakutakua na mikopo nafuu na nikuombe usisubiri mpaka majaliwa ndio aje kutumbua kama mwenzako yeye alikua hajui kama kuna mita hazifanyi kazi bandarini?
 
sio kila kitu afatilie waziri wa fedha.Ni kweli kuna riba kubwa inayotozwa na benki zetu lakini pia unapaswa kujua kadiri mkopo wako unavyochukua muda mrefu kulipwa ni ndivyo unavyolipa riba kubwa mkopo huohuo angalia ukiwa unalipa kwa miaka miwili au mmoja ukipiga hesabu utaona umelipa riba kidogo
 
Back
Top Bottom