Jimmy De Lite
JF-Expert Member
- Jun 10, 2019
- 635
- 2,341
Kings music ya Alikiba wametoa ngoma Kali inaitwa Rhumba,Vijana wanaonekana wana Talent kubwa ila ajabu wamekosa mtu wa kuwabrand.
Mshazoe matusi nyie hujui hata nyimbo nzuriYule anayeanza kuimba ni wa kike ama?
Kiufupi nyimbo mbaya
Mshazoe matusi nyie hujui hata nyimbo nzuri
Joanah acha majungu,king ni king tu na shida yako unafananisha na upande wa pili kuleKweli nyimbo mbaya kuanzia sauti zao hadi beat
Sio majungu ni ukweliJoanah acha majungu,king ni king tu na shida yako unafananisha na upande wa pili kule
Sio majungu ni ukweli
Sijafananisha na yoyote,nyimbo mbaya
Rhumba ni bonge la nyimbo. Ni wimbo bora kuliko zote za mwaka huu Afika nzimaBado unasimamia msimamo wako
Rhumba ni bonge la nyimbo. Ni wimbo bora kuliko zote za mwaka huu Afika nzima
Yule bwana mdogo na ile Sauti yake inanikela kinoma.
Anyway [emoji124]
Nimeisikiliza zaidi ya mara 5 nyimbo ni ya kawaida ila kutokana na utimu uliopo itapewa promo kubwa na haya mambo ndo yanafanya wasanii wengine wakali wasionekane.Kings music ya Alikiba wametoa ngoma Kali inaitwa Rhumba,Vijana wanaonekana wana Talent kubwa ila ajabu wamekosa mtu wa kuwabrand.
Kivipi mkuuJungu lingine
Kivipi mkuu
Mimi ni mpenzi wa mziki mzuri. Haijalishi nani ameimba.Haujaandika toka moyoni
Tukisema sisi tutaitwa hatersWanetuangusha sana, bit mbovu kuliko yan, hakuna proper melody, yan wanaimba imba tu
Wanetuangusha sana, bit mbovu kuliko yan, hakuna proper melody, yan wanaimba imba tu