RFA, TAARIFA YENU HII JUU YA JIMBO LA SERENGETI HUENDA SIYO SAHIHI!

REAGAN C.MABOGO

JF-Expert Member
Jan 3, 2014
1,269
1,007
Kwenye taarifa yenu ya mchana huu saa sita na nusu, mnasema kuwa jimbo la mbunge Marwa Ryoba (serengeti) lina shule za msingi "elfu sabini na tisa na mia nne" (79,400)! Ni kweli au msomaji kalewa pombe?! Hivi lina vijiji vingapi?
 
Kwenye taarifa yenu ya mchana huu saa sita na nusu, mnasema kuwa jimbo la mbunge Marwa Ryoba (serengeti) lina shule za msingi "elfu sabini na tisa na mia nne" (79,400)! Ni kweli au msomaji kalewa pombe?! Hivi lina vijiji vingapi?
Hivi hizi pombe za nchi hii wameweka nini aisee ? Ni lazima mtangazaji alikuwa njwii , unajua vijana ni lazima WATOE LOKI asubuhi , lakini wamesahau kwamba LOKI inatolewa kwa kustua moja tu , na wala si tano .
 
Hivi hizi pombe za nchi hii wameweka nini aisee ? Ni lazima mtangazaji alikuwa njwii , unajua vijana ni lazima WATOE LOKI asubuhi , lakini wamesahau kwamba LOKI inatolewa kwa kustua moja tu , na wala si tano .
SOURCE za TAMISEMI zinasema Serengeti ina vijiji 75, shule za msingi 96 zenye wanafunzi 54,095.
 
Kwenye taarifa yenu ya mchana huu saa sita na nusu, mnasema kuwa jimbo la mbunge Marwa Ryoba (serengeti) lina shule za msingi "elfu sabini na tisa na mia nne" (79,400)! Ni kweli au msomaji kalewa pombe?! Hivi lina vijiji vingapi?
Huyo amelewa pombe! ukichanganya shule za msingi na sekondari nchi nzima hazifiki 24,000! labda kama alikusudia kusema jimbo lina wananchi 79400 na siyo shule.
 
Huyo amelewa pombe! ukichanganya shule za msingi na sekondari nchi nzima hazifiki 24,000! labda kama alikusudia kusema jimbo lina wananchi 79400 na siyo shule.
Huyo amelewa pombe! ukichanganya shule za msingi na sekondari nchi nzima hazifiki 24,000! labda kama alikusudia kusema jimbo lina wananchi 79400 na siyo shule.
Wananchi ni zaidi ya laki mbili.
 
Back
Top Bottom