Perfectz
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 9,110
- 27,048
Habari zenu wakuu, natumaini mko poa.
Kuna muvi nimeiona inaitwa IN THE TALL GRASSES ila imenichanganya sana tena sana. Haya ni baadhi ya mambo yaliyonichanganya
i)Je, yule mdada mwenye mimba aliekuwa kwenye gari na kakake wakienda kwa mchumba wa yule dada, je waliingia mle kwenye yale majani marefu au hawakuingia? 🤔
ii) Kama hawakuingia mbona gari yao ilionekana nje plate number zikiwa zimechafuka kuonesha lilikaa muda mrefu pale nje kanisani?
iii)Je, kati ya yule mdada mwenye mimba pamoja na kakake na yule mchumba wakealiekuja kuwatafuta, je nani alianza kuingia mle kwenye majani? 🤔
iv)Ni ipi hasa logic behind ya ile movie?
Karibuni sana waungwana kwa mawazo zaidi
Kuna muvi nimeiona inaitwa IN THE TALL GRASSES ila imenichanganya sana tena sana. Haya ni baadhi ya mambo yaliyonichanganya
i)Je, yule mdada mwenye mimba aliekuwa kwenye gari na kakake wakienda kwa mchumba wa yule dada, je waliingia mle kwenye yale majani marefu au hawakuingia? 🤔
ii) Kama hawakuingia mbona gari yao ilionekana nje plate number zikiwa zimechafuka kuonesha lilikaa muda mrefu pale nje kanisani?
iii)Je, kati ya yule mdada mwenye mimba pamoja na kakake na yule mchumba wakealiekuja kuwatafuta, je nani alianza kuingia mle kwenye majani? 🤔
iv)Ni ipi hasa logic behind ya ile movie?
Karibuni sana waungwana kwa mawazo zaidi