Unatishia kujamba wakati unahalishaHahahaaaa! Mke alitishia Kujamba!!!! Mume kaamua Kuharisha kabisaaaa! LOL! Zombiiii limejikomboa!!!!!
Haoni haya kwa sababu yeye ni malayaHuyu hana pesa yoyote ile basi tu umalaya wake utarudije asubuhi kwa mumeo?? Huoni haya
Kumtoa uzuzu mme wa mke mwenzioSi husiki kivipi??? Ha ha ha mzee wa Tandale una vituko wewe
Tabia hizi nimeziona sana kwa wanawake wenye fedha/kipato kikubwa kuliko mwanaume mambo yote ya nyumbani anamaliza mwanamke hivyo basi mwanamke anaonekana kichwa cha familia anamkalia juu mwanaume anabaki kuwa mwoga ananywea anakuwa ***** kabisa zezeta
Vp anakunywa kilevi? Pengine zinasababishaha ha ha ha hapo umesema kwa kweli maana kwa mtu wa kawaida lazima uone haya
Na bado wanaishi nyumba moja?
Ndoa kazi aisee
@nyamayao unajua njaa haina baunsana ndio mkamage na nyie kupenda mteremko, hutaki kuanza na mwenzio kapuku kama nyamayao hapa unakimbilia kutunzwa, kwanini nisikufanyie vimbwanga?
Tabia hizi nimeziona sana kwa wanawake wenye fedha/kipato kikubwa kuliko mwanaume mambo yote ya nyumbani anamaliza mwanamke hivyo basi mwanamke anaonekana kichwa cha familia anamkalia juu mwanaume anabaki kuwa mwoga ananywea anakuwa ***** kabisa zezeta
Vikijimix vinakuwa sugu kuna mawili mwaweza ishi maisha marefu kwa kuwadedisha wanao watamani au mkafa kwa kuugua mafua tu chaliukisikia kuleteana virusi ndio huku sasa, kila mmoja ana lake usiku mnavi mix, hapo tu mie ndio nachokaga aise, natamani nimkumbushie mtu kuvaa condom but ndio siwezi sasa.
Vikijimix vinakuwa sugu kuna mawili mwaweza ishi maisha marefu kwa kuwadedisha wanao watamani au mkafa kwa kuugua mafua tu chali
Mi Dena Amsi kanimaliza tu aliposema hivi sasa wako hospitali bado mtu kazimia, afu yeye ako bize na laputopu anapost JF!!
Hii ni adiksheni au ni mambo flani ya hadisi hadisi?
Vp anakunywa kilevi? Pengine zinasababisha
Mwanaume ndo anakunywa na anamiliki baa gonga hapa utamkumbuka
https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/92198-hivi-kumbe-wanaume-nao-huwa-wanalia.html