Dena Amsi
R I P
- Aug 17, 2010
- 13,082
- 4,260
Ni miaka miwili sasa tangu nimfahamu huyu rafiki yangu, jirani yangu, mwenyeji wangu nk......
Tumeishi vizuri yeye na familia yangu nami pia vivyo hivyo........... tumekuwa kama ndugu
Toka muda huo alikuwa na matatizo na mkewe (kama kawa matatizo katika familia hayakosi)
But ya huyu mama hata mimi yalikuwa yakinikera kiukweli mpaka majirani wengine ana tabia chafu
maana nikisema mbaya ni nafuu..............analala nje ya nyumba yake, anarudi asubuhi, hamshughulikii
mwanaume kwa lolote nguo ni housegirl ndo anafua, anapika inshort anafanya kila kitu...................
Jamaa mpaka akafikia analia mbele za watu (you can imagine) mwanaume analia mbele za watu (aibu tupu)
Jamaa amevumilia akiendelea kumpenda mkewe hivyohivyo tu.............lakini sasa uzalendo umemshindaa......
Hivi majuzi katafuta mpango wa kando kalala huko huko two days hajarudi home simu kazima...................
Mama kachanganyikiwa mbaya sana ooohh huyu mwanaume malaya na maneno meengi yasokuwa na msingi
Jamaa karudi jana around saa moja usiku hivi Mwanamke kaenda kushitaki kwa Chief jamaa kuitwa na kwenda akasema
ni kweli mimi nimepata Mwanamke wa kuoa mwingine na huyu akitaka aendelee kuishi na mimi na ajue wako wawili au
aondoke zake .....................(NIMETESEKA ZAIDI YA TWO YEARS SASA NI ZAMU YAKE)
Huyu mama (jirani) kaanguka chini na kuzimia hivi napoandika tuko hospitali hajaamka mpaka sasa na mapigo ya moyo
yako juu mbaya sana.....................
Mkuki kwa nguruwe kwa binadamu mchungu.......................
My take: What goes around comes around..........
DA
Tumeishi vizuri yeye na familia yangu nami pia vivyo hivyo........... tumekuwa kama ndugu
Toka muda huo alikuwa na matatizo na mkewe (kama kawa matatizo katika familia hayakosi)
But ya huyu mama hata mimi yalikuwa yakinikera kiukweli mpaka majirani wengine ana tabia chafu
maana nikisema mbaya ni nafuu..............analala nje ya nyumba yake, anarudi asubuhi, hamshughulikii
mwanaume kwa lolote nguo ni housegirl ndo anafua, anapika inshort anafanya kila kitu...................
Jamaa mpaka akafikia analia mbele za watu (you can imagine) mwanaume analia mbele za watu (aibu tupu)
Jamaa amevumilia akiendelea kumpenda mkewe hivyohivyo tu.............lakini sasa uzalendo umemshindaa......
Hivi majuzi katafuta mpango wa kando kalala huko huko two days hajarudi home simu kazima...................
Mama kachanganyikiwa mbaya sana ooohh huyu mwanaume malaya na maneno meengi yasokuwa na msingi
Jamaa karudi jana around saa moja usiku hivi Mwanamke kaenda kushitaki kwa Chief jamaa kuitwa na kwenda akasema
ni kweli mimi nimepata Mwanamke wa kuoa mwingine na huyu akitaka aendelee kuishi na mimi na ajue wako wawili au
aondoke zake .....................(NIMETESEKA ZAIDI YA TWO YEARS SASA NI ZAMU YAKE)
Huyu mama (jirani) kaanguka chini na kuzimia hivi napoandika tuko hospitali hajaamka mpaka sasa na mapigo ya moyo
yako juu mbaya sana.....................
Mkuki kwa nguruwe kwa binadamu mchungu.......................
My take: What goes around comes around..........
DA