Revealed: State`s top ten billions makers with NSSF leading the way!!!

Mimi last week nilikuwa pale na nilichukua Annual report yenye hizo taarifa za fedha. Acha uvivu, toka kwenye keyboard ukafuatilie mambo.

Alafu, huwezi kulinganisha PENSION FUNDS na makampuni. They are in two different worlds. Jifikirishe.

Kuchukua taarifa waliyotengeneza wao is one thing...kuwa audited na external auditors is completely another. Kwahiyo lazima kuwe na check and balance....mimi sio mvivu...najaribu kuangalia vitu tka pande zote mbili za shillingi. tatizo la mtu kama wewe ni kwamba unaamini lolote linalokuja mbele yako bila kujiuliza.
NSSF ili hesabu zake ziwe credible lazima zipass external auditors test...vinginevyo ni michezo ya kuigiza tu na mfano mmoja nimekupa ni kuanguka kwa makampuni mengi makubwa ulaya na marekani kwasababu ya kupika data za internal auditing
 
Acha porojo..soma post yangu hapo. Tena ngoja nikupe mwanga, nenda pale floor ya 15 kwa Public affairs utapata annual reports sio unalala lala tuu!

Mmmh, Ila bahati mbaya unaoneka hutaziamini maana umeshaweka ubongo wako kwenye mlengo wa kwamba zinapikwa..kalaghabao!

Mkuu
Kwani ni lazima niamini unachoamini wewe au nifuate unachofuate wewe? Are you a standard unit? Porojo unapiga wewe...I make my contributions to NSSF...kwanini nisiwe curiousy kwenye namna wanavyofanya matumizi na hela tunazochangia? After all sioni kama ni kosa kuhoji hatua ya mbele zaidi. Kifupi siamini report ya ndani ya NSSF mpaka iwe imefanana na external auditors report...kwahilo huwezi kunilazimisha.
 
Asante Mdondoaji,
Mimi naomba niwe wa kwanza.
1. Nchi zote duniani mashirika ya hifadhi ndio yanayoongoza kwa faida kubwa gross na ndio mostly yenye uwezo wa kuunda SPV!.
2. Hiyo gross kubwa ya NSSF ina maana gani kama hatimaye hutoa mafao duni wanachama wake?.
3. Angalia PSPF ndio ina gross profit ndogo kwa vile inatoa mafao bora kabisa kwa wanachama wake?.
4. Kama PSPF inawajengea nyumba za gharama nafuu na kuwauzia wanachama wake kwa bei ya karibu na bure, hilo li faida likubwa la NSSF lina tija gani kama wanachama wake wakisha staafu wanalipwa mafao kiduchu na kuishia kuwa hohehahe?!.
5. Katika matangazo yake, NSSF imekuwa ikijitapa kitoa mafao ya msiba, matibabu etc nikifikiri ni added value, kumbe mafao hayo yanakatwa toka yale yale mafao yako ya mwisho, hivyo ukiugua ugua sana ukatibiwa kwa mafao yako, unapostaafu inaweza ukashtukia huna kitu kwa sababu fedha zote utakuwa umemaliza kwa kujitibia!.
6. Last year nilimuuliza bosi wa SSRA yule dada Irene Isaka, kwa nini mifuko yote isilazimishwe kutoa mafao bora kama PSPF?. Akanijibu hilo linashughulikiwa bila kuadhiri afya ya mifuko.
7. Lengo la mifuko ya hifadhi za jamii ni kukuwezesha wewe ku sustain decent living baada ya kuuzeeka, linganisha maisha ya wastaafu wa NSSF na wale wa PSPF unieleze hayo mabilioni ya faida wanamfaidisha nani?.
8. NSSF ndio inayoongoza kwa kutoa mikopo ya kujipendekeza na kujikomba komba kwa wakubwa ambao wala sio wanachama wakiwemo viongozi wakuu wa serikali wakati wanachama wenyewe hawakopeshwi!.
9. Yusuph Manji ndie aliwahi kuwa mkopaji mkuu wa NSSF kuna wakati alikopeshwa bilioni 10 akaitumia kujengea ile Millenium Bussness Park, alipomaliza akawauzi NSSF kwa bilioni 40, akalipa deni lao la ile bilioni 10 na kupoket bilioni zake 30!, what a profit.
10. Tena NSSF wana bahati sisi wanachama hatuwezi kuwafikisha mahakamani kwa loss making investments, mfano Machinga Complex ni white elephant with a huge loss!.

Angalizo: Hizi sio chuki binafsi kwa sababu mimi ni mwanachana wa NSSF na sifaidiki kwa lolote wala chochote!.

Pasco,
Ni nchi gani hizo ambazo mashirika ya pension yanaongoza kwa faida? Kwa taarifa yako katika nchi nyingi matumizi ya pension funds ni makubwa kuliko mapato, yaani kunakuwa na pengo mpaka serikali au kampuni mama inasaidia kuyaziba.

Kitu ambacho NSSF na mashirika mengine ya TZ yanafaidika ni kwamba pensioners wetu hawaishi muda mrefu, hivyo liabilities kwa hizi funds inakuwa ndogo sana. Pia ukimwi umechangia ambapo umeondoa familia nyingi zikiwa bado na umri wa kati.

NSSF wanafanya vizuri na kwa hilo wanastahili pongezi.
 
Re: Revealed: State`s top ten billions makers with NSSF leading the way!!! Asante Mdondoaji, Mimi naomba niwe wa kwanza. 1. Nchi zote duniani mashirika ya hifadhi ndio yanayoongoza kwa faida kubwa gross na ndio mostly yenye uwezo wa kuunda SPV!. 2. Hiyo gross kubwa ya NSSF ina maana gani kama hatimaye hutoa mafao duni wanachama wake?. 3. Angalia PSPF ndio ina gross profit ndogo kwa vile inatoa mafao bora kabisa kwa wanachama wake?. 4. Kama PSPF inawajengea nyumba za gharama nafuu na kuwauzia wanachama wake kwa bei ya karibu na bure, hilo li faida likubwa la NSSF lina tija gani kama wanachama wake wakisha staafu wanalipwa mafao kiduchu na kuishia kuwa hohehahe?!. 5. Katika matangazo yake, NSSF imekuwa ikijitapa kitoa mafao ya msiba, matibabu etc nikifikiri ni added value, kumbe mafao hayo yanakatwa toka yale yale mafao yako ya mwisho, hivyo ukiugua ugua sana ukatibiwa kwa mafao yako, unapostaafu inaweza ukashtukia huna kitu kwa sababu fedha zote utakuwa umemaliza kwa kujitibia!. 6. Last year nilimuuliza bosi wa SSRA yule dada Irene Isaka, kwa nini mifuko yote isilazimishwe kutoa mafao bora kama PSPF?. Akanijibu hilo linashughulikiwa bila kuadhiri afya ya mifuko. 7. Lengo la mifuko ya hifadhi za jamii ni kukuwezesha wewe ku sustain decent living baada ya kuuzeeka, linganisha maisha ya wastaafu wa NSSF na wale wa PSPF unieleze hayo mabilioni ya faida wanamfaidisha nani?. 8. NSSF ndio inayoongoza kwa kutoa mikopo ya kujipendekeza na kujikomba komba kwa wakubwa ambao wala sio wanachama wakiwemo viongozi wakuu wa serikali wakati wanachama wenyewe hawakopeshwi!. 9. Yusuph Manji ndie aliwahi kuwa mkopaji mkuu wa NSSF kuna wakati alikopeshwa bilioni 10 akaitumia kujengea ile Millenium Bussness Park, alipomaliza akawauzi NSSF kwa bilioni 40, akalipa deni lao la ile bilioni 10 na kupoket bilioni zake 30!, what a profit. 10. Tena NSSF wana bahati sisi wanachama hatuwezi kuwafikisha mahakamani kwa loss making investments, mfano Machinga Complex ni white elephant with a huge loss!. Angalizo: Hizi sio chuki binafsi kwa sababu mimi ni mwanachana wa NSSF na sifaidiki kwa lolote wala chochote!. Swala si nssf kupata profit kubwa bali hao walioiwezesha NSSF wamefaidikaje ukiangalia wanachama wa nssf majority hali zao ni mbaya wakienda kuchukua mafao wanazungushwa hela ambazo mpaka sasa hivi nssf wamepoteza ni nyingi sana amabzo kama wangetumia kuboresha mafao ya wanachama wake tungewasifia wana uwezo wa kutengeneza hata trion moja faida kama usimamizi ungekuwa mzuri mbali na pesa ya vitega uchumi kumbuka hawa huwa wanapokea makato ya wafanyakazi kila mwezi na wana wanachama wengi kuliko mashirika mengine ya hifadhi ya jamii hivyo kuongoza kwao haina maana wao ni bora zaidi nilikuwa mwanachama wa nssf nyie mnaopongeza kwa namna moja au nyingine ni wale mnaonufaika na uzembe wao hakuna mwanachama wa nssf anayeweza kuipongeza nnsf
 
Mkuu
Kwani ni lazima niamini unachoamini wewe au nifuate unachofuate wewe? Are you a standard unit? Porojo unapiga wewe...I make my contributions to NSSF...kwanini nisiwe curiousy kwenye namna wanavyofanya matumizi na hela tunazochangia? After all sioni kama ni kosa kuhoji hatua ya mbele zaidi. Kifupi siamini report ya ndani ya NSSF mpaka iwe imefanana na external auditors report...kwahilo huwezi kunilazimisha.

Hakuna report inayotolewa ambayo haitokani na Audited Accounts..mpaka inakuwa published it means external audit imefanyika..be brave!
 
Does NSSF profit take into account none-performing loans of UDOM and Machinga complex?
 
For NHI to make such a staggering profit while it has got no investment portfolios is Breaking news! I don't believe its members have not fallen sick. Inabidi waongeze kiasi cha fedha kwa ajili ya matibabu ya member wake. Ikiwezekana hata wapewe green cards watu wa kipato cha chini.
 
Hakuna report inayotolewa ambayo haitokani na Audited Accounts..mpaka inakuwa published it means external audit imefanyika..be brave!

Am brave and choose well my fighting terrain...hilo usihofu kabisa. Kinachnisumbua mimi ni namna mambo yanavyokwenda kwenye haka ka nchi ketu. Sitaki tena kuamini amani kila kitu maana siku hizi uongo tumeufanya uwe ukweli...so kwenda extra mile ni kitu muhimu sana ili kuthibitisha kama kinachosemwa ni kitu cha kweli.
 
Pasco,
Ni nchi gani hizo ambazo mashirika ya pension yanaongoza kwa faida? Kwa taarifa yako katika nchi nyingi matumizi ya pension funds ni makubwa kuliko mapato, yaani kunakuwa na pengo mpaka serikali au kampuni mama inasaidia kuyaziba.

Kitu ambacho NSSF na mashirika mengine ya TZ yanafaidika ni kwamba pensioners wetu hawaishi muda mrefu, hivyo liabilities kwa hizi funds inakuwa ndogo sana. Pia ukimwi umechangia ambapo umeondoa familia nyingi zikiwa bado na umri wa kati. NSSF wanafanya vizuri na kwa hilo wanastahili pongezi.

Acha kutoa sababu za kukaririshwa wewe. NSSF na PPF zinafanya vizuri kwasababu
1. Zinalipa mafao madogo sana kwa wanachama wake
2. inflation kubwa ya shilingi ambayo haizingatiwi na NSSF wakati wa kutoa mafao tofauti na nchi ambazo currency yake ziko stable eg,$

Hujasoma hata HIV prevalence profile to any SSA. Nani kakwambia UKIMWI unaua sana watu ambao wako above 60 years old. Prevalance in that age below 0.2%

BTW, NSSF wangekuwa wanawalipa vizuri wanachama wake vizuri nao wangekuwa hoi bin taabani because they have many WHITE ELEPHAT PROJECTS like UDOM, Machinga Complex, Manji Millenium Complex, Kugharamikia mikutano ya CCM na kampeni, daraja la kigamboni, the list is endless.

But they days are numbered to make profit by milking their members.
 
Acha kutoa sababu za kukaririshwa wewe. NSSF na PPF zinafanya vizuri kwasababu
1. Zinalipa mafao madogo sana kwa wanachama wake
2. inflation kubwa ya shilingi ambayo haizingatiwi na NSSF wakati wa kutoa mafao tofauti na nchi ambazo currency yake ziko stable eg,$

Hujasoma hata HIV prevalence profile to any SSA. Nani kakwambia UKIMWI unaua sana watu ambao wako above 60 years old. Prevalance in that age below 0.2%

BTW, NSSF wangekuwa wanawalipa vizuri wanachama wake vizuri nao wangekuwa hoi bin taabani because they have many WHITE ELEPHAT PROJECTS like UDOM, Machinga Complex, Manji Millenium Complex, Kugharamikia mikutano ya CCM na kampeni, daraja la kigamboni, the list is endless.

But they days are numbered to make profit by milking their members.

Hujui hata kusoma? Mambo ya ukimwi nimeandika ni kwa watu wenye umri wa kati. Yaani miaka 30 mpaka 50. Hawa wamelipa mchango wao kwa miaka kama 20 kisha wanakufa hata kabla ya kufikisha muda wa kupata mafao.
 
Asante Mdondoaji,
Mimi naomba niwe wa kwanza.
1. Nchi zote duniani mashirika ya hifadhi ndio yanayoongoza kwa faida kubwa gross na ndio mostly yenye uwezo wa kuunda SPV!.
2. Hiyo gross kubwa ya NSSF ina maana gani kama hatimaye hutoa mafao duni wanachama wake?.
3. Angalia PSPF ndio ina gross profit ndogo kwa vile inatoa mafao bora kabisa kwa wanachama wake?.
4. Kama PSPF inawajengea nyumba za gharama nafuu na kuwauzia wanachama wake kwa bei ya karibu na bure, hilo li faida likubwa la NSSF lina tija gani kama wanachama wake wakisha staafu wanalipwa mafao kiduchu na kuishia kuwa hohehahe?!.
5. Katika matangazo yake, NSSF imekuwa ikijitapa kitoa mafao ya msiba, matibabu etc nikifikiri ni added value, kumbe mafao hayo yanakatwa toka yale yale mafao yako ya mwisho, hivyo ukiugua ugua sana ukatibiwa kwa mafao yako, unapostaafu inaweza ukashtukia huna kitu kwa sababu fedha zote utakuwa umemaliza kwa kujitibia!.
6. Last year nilimuuliza bosi wa SSRA yule dada Irene Isaka, kwa nini mifuko yote isilazimishwe kutoa mafao bora kama PSPF?. Akanijibu hilo linashughulikiwa bila kuadhiri afya ya mifuko.
7. Lengo la mifuko ya hifadhi za jamii ni kukuwezesha wewe ku sustain decent living baada ya kuuzeeka, linganisha maisha ya wastaafu wa NSSF na wale wa PSPF unieleze hayo mabilioni ya faida wanamfaidisha nani?.
8. NSSF ndio inayoongoza kwa kutoa mikopo ya kujipendekeza na kujikomba komba kwa wakubwa ambao wala sio wanachama wakiwemo viongozi wakuu wa serikali wakati wanachama wenyewe hawakopeshwi!.
9. Yusuph Manji ndie aliwahi kuwa mkopaji mkuu wa NSSF kuna wakati alikopeshwa bilioni 10 akaitumia kujengea ile Millenium Bussness Park, alipomaliza akawauzi NSSF kwa bilioni 40, akalipa deni lao la ile bilioni 10 na kupoket bilioni zake 30!, what a profit.
10. Tena NSSF wana bahati sisi wanachama hatuwezi kuwafikisha mahakamani kwa loss making investments, mfano Machinga Complex ni white elephant with a huge loss!.

Angalizo: Hizi sio chuki binafsi kwa sababu mimi ni mwanachana wa NSSF na sifaidiki kwa lolote wala chochote!.

Sijaamini na kama wewe waweza andika vitu bila study, nakuongopa kwanzia sasa, njaa zako zitakupeleka pabaya, uwezi ua NSSF na porojo zako zisizo na mshiko kama hapo na 5 duu!

No facts= Chuki or majungu or njaa.
 
watu wanawasifia NSSF lakini ni wasumbufu sana wakati wa kudai mafao na mamia ya watu wanakufa kabla ya kupata mafao yao. We subiri kama unachangia ndio utajua wakati wa kudai mafao. pili hakuna mwanachama mwenye statement ya michango yake ya mwaka mmoja uliopita, wana teknolojia ya kizamani wanachama wanapaswa kujua status kila mwezi wakitaka kama kwenye mabenki. Halafu wanatoa riba ya asilimia moja kwa mwaka kwa michango. Ndio mnasema wazuri? bora tuwe na unit linked pension fund na defined benefit schemes. hizi def contribution zina waumiza wachangiaji. SSRA wake up
 
Im confused! si tuliambiwa na kuaminishwa hapa JF kuwa NSSF ni mufirisi na CAG ndiye alisema maneno hayo? Sasa hayo "mabilioni" ya faida yametoka wapi tena?

Am I missing something here?

Dont be confused my brother, kuna migogoro miwili katika hili.

1) Mgogoro kati ya wenye chuki na Dr. Rama (kama MMKJ na pasco et al)
2) Wivu wa baadhi ya mifuko mingne isiyo na ufanisi na NSSF

Umeelewa?
 
Pasco,
Ni nchi gani hizo ambazo mashirika ya pension yanaongoza kwa faida? Kwa taarifa yako katika nchi nyingi matumizi ya pension funds ni makubwa kuliko mapato, yaani kunakuwa na pengo mpaka serikali au kampuni mama inasaidia kuyaziba.

Kitu ambacho NSSF na mashirika mengine ya TZ yanafaidika ni kwamba pensioners wetu hawaishi muda mrefu, hivyo liabilities kwa hizi funds inakuwa ndogo sana. Pia ukimwi umechangia ambapo umeondoa familia nyingi zikiwa bado na umri wa kati.

NSSF wanafanya vizuri na kwa hilo wanastahili pongezi.

Hapo kwenye red: The reason huko kwa wenzetu wanakuwa matatizo ya kulipa pensioners ni mbili:

1. Baada ya kustaafu watu wanaishi miaka mingi, hivyo mifuko inajikuta ina muda mrefu wa kuendelea kulipa. Kumbuka mfuko ukishakuwa na neno "pension' maana yake kisheria wale wanaostaafu watalipwa hadi wafe.

2. Kwa wenzetu, population growth ni ya chini na wengine hawana watoto kabisa. Hivyo 'working age group' inazidi kuwa ndogo wakati wazee (wastaafu wanakuwa wengi). Kwa hivyo utaona wanaotoa michango ni wanazidi kupungua. Ndiyo sababu nchi nyingi wamesogeza umri wa kustaafu ili walao waendelee watu waendelee kuchangia. Nchi nyingi ulaya kwa mfano umri wa kustaafu ni miaka 67.
 
Back
Top Bottom