Baba Mkubwa
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 793
- 58
Jamani, nani mwenye taarifa kamili juu ya hili? Tafadhari tueleze kabla kusema RIP
Nambari yake ya simu ni 0754 288179. Jaribuni kumpigia kama anapatikana
PM
tusianze na rambi rambi mwisho akaibuka na kutujibu kuwa yu hai itakuwa aibu kwetu. Aibu hiyooooo!!!! Ni muhimu kutafakari kisha kuchukua hatua
nambari yake ya simu ni 0754 288179. Jaribuni kumpigia kama anapatikana
pm
Nambari yake ya simu ni 0754 288179. Jaribuni kumpigia kama anapatikana
PM
Bwana alitoa, akatwaa, ametoa tena, Tumsifu Yesu Kristu, Amina
jamani si nliwahi kusoma mojawapo ya rules za humu ndani tusitoe namba au any detailz za mawasiliano za mtu wazi wazi??
sio tu sheria za jf but ni sheria kila uendako bandugu!sio fresh hivyo!
meanwhile lets wait kuthibitishiwa hizi habari
jamani si nliwahi kusoma mojawapo ya rules za humu ndani tusitoe namba au any detailz za mawasiliano za mtu wazi wazi??
sio tu sheria za jf but ni sheria kila uendako bandugu!sio fresh hivyo!
meanwhile lets wait kuthibitishiwa hizi habari
RIP Prof Leonard Shayo. Poleni mliofiwa na mpendwa wenu.
TBC1 walitoa habari hii. Amefariki akiwa na miaka 60.
RIP Prof Leonard Shayo. Poleni mliofiwa na mpendwa wenu.
TBC1 walitoa habari hii. Amefariki akiwa na miaka 60.