camp konzi
JF-Expert Member
- Dec 6, 2025
- 216
- 424
- Thread starter
- #21
jambo linaosikitisha ni kwamba kwa sasa jf imekua ni uwanja wa mapambano kila mwenye makasiliko yake anayaonesha wazi wazi imekua ni mwendo wa vita ni vita mula kwa wale wanyonge kama sisi ndio ambao tunapata tabu