TANZIA Rest In Peace Frank Shega aka Jeda (academic conquer)

Ni mwaka wa tatu sasa toka amefariki.
Haya yote mnayoyauliza sasa hayana mantinki.
Apumzike kwa amani
 
Uko sahihi kabisa katika hizo point 1,2 mpaka 3.
Tuliomfahamu tutaendelea kumuenzi na kumuombea kwa Mungu apumzike kwa amani
 
Rest in Peace Shega.

Story za washkaji na mafanikio yao academically yamekuwa yakitumika kutumotivate tukaze tukiwa shule. Ni watu hatujawahi onana nae ila ana mchango fulani kwenye harakati zangu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…