Kuna watu wametoa maelezo kuhusu marehemu,pamoja na kuwa amefariki(Na si tatizo kabisa) haimaanishi hayo maelezo tusip(nisipo)yaelewa sina haki ya kuuliza,kama vipi yasingetolewa. Nilivyoelewa
1)Alikuwa very bright.
2)Alikuwa muajiriwa wa Maktech
3)Vodacom walikuwa clients wa Maktech Na mpaka kifo kinamkuta ,alikuwa akiiwakilisha Maktech kule Voda