Zakayo Chacha Wangwe
Member
- Jul 6, 2014
- 5
- 6
KUMBUKUMBU YA HAYATI CHACHA WANGWE
Ni miaka sita(6) sasa tangu alipotutoka aliyekuwa Mbunge wa jimbo la Tarime,Diwani wa kata ya Tarime Mjini, Waziri kivuli wa Maji, Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Mara na Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Baba yetu mpendwa Hayati Chacha Zakayo Wangwe kwa kifo kilichogubikwa na sintofahamu mpaka leo,kilichotokea mnamo tarehe 28/07/2008 maeneo ya Pandambili,wilayani Kongwa.
Kwa niaba ya Familia ya Wangwe, wananchi wa Tarime na wanachama wa CHADEMA napenda kusema kuwa tanakumbuka sana uwepo wako Comrade Wangwe,na tutakukumbuka na kukuenzi daima..Mbele yako,nyuma yako.
REST IN PEACE TATA.
M B O R A K E (KUTAKUCHA)
Ni miaka sita(6) sasa tangu alipotutoka aliyekuwa Mbunge wa jimbo la Tarime,Diwani wa kata ya Tarime Mjini, Waziri kivuli wa Maji, Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Mara na Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Baba yetu mpendwa Hayati Chacha Zakayo Wangwe kwa kifo kilichogubikwa na sintofahamu mpaka leo,kilichotokea mnamo tarehe 28/07/2008 maeneo ya Pandambili,wilayani Kongwa.
Kwa niaba ya Familia ya Wangwe, wananchi wa Tarime na wanachama wa CHADEMA napenda kusema kuwa tanakumbuka sana uwepo wako Comrade Wangwe,na tutakukumbuka na kukuenzi daima..Mbele yako,nyuma yako.
REST IN PEACE TATA.
M B O R A K E (KUTAKUCHA)