Rest in peace comrade Chacha Wangwe

Rest in peace comrade Chacha Wangwe

unamatatizo sana wewe,ulivyoandika kwa kurupuka mi nilijua una la kuongeza. haya taja basi iyo tarehe sahihi ya kifo cha wangwe!
Unakurupuka sana wewe zaidi. Kataja tarehe 28/7/2014 jee ni kweli Wangwe kafa leo? Huu uzi umeletwa kwa nia ovu ndio maana unajichanganya.
 
Sawa, lakini bado inaniuma kwa CDM kumubagua enzi uhai wake na kumsababishia kifo!
 
Kweli damu yake imeanza kuonekana kwani CDM hapashikiki tena, uogomvi wa madaraka shida kweli. Kile kiti kina mwenyewe sijui nani atakikalia. Chezea kwingine si kwa Mbowe na Slaa.
 
Ni matumaini yangu kule aliko ndugu yetu Chacha Wangwe anapumzika kwa amani huku akiangalia jinsi Sheria ya Karma inayosema ''Whatsoever a man soweth, that shall he also reap''. inavyowatafuna viongozi na wanachama wa CHADEMA kwa sasa kama ilivyofanyika pia hivi karibuni kwa Zitto, Dr. Kitila, Samson Mwigamba na wengine wengi.

Kila tunapokutana na jina lako, hutufanya vile vile kuzilejea kumbukumbu za andiko lako linalosema ''JARIDA LA CHACHA ZAKAYO WANGWE MBUNGE WA TARIME'' ambalo linapatikana hapa,

Chacha Wangwe aibuka toka kuzimu | Tarishi Hauwawi

Katika Jarida hili, kuna kipande cha paragraph ambacho tulikichunguza na kugundua ndiyo kitovu cha mwanzo wa sheria ya Karma kwa baadhi ya viongozi na wanachama wa CHADEMA ambapo umesema,

WAPENDA HAKI NA USAWA TUTAZIDI KUKUKUMBUKA DAIMA!

mkuu nilichojifunza vijana tunatakiwa kuwa jasiri kama Wangwe, cdm mlaaniwe!!
 
Je aliyosema chacha ya ruzuku yana ukweli? Au ndiyo mtasema msaliti?
 
GODBLESS Lema aje hapa na yeye tukumbuke kifo cha kamanda ,moment for silence
 
Last edited by a moderator:
Asante sana mkuu kwa kuweka haya maelezo ya chacha wangwe. sikuwahi kuyapata haya kabla ya leo. ama kweli chadema na majizi.


Ni matumaini yangu kule aliko ndugu yetu Chacha Wangwe anapumzika kwa amani huku akiangalia jinsi Sheria ya Karma inayosema ''Whatsoever a man soweth, that shall he also reap''. inavyowatafuna viongozi na wanachama wa CHADEMA kwa sasa kama ilivyofanyika pia hivi karibuni kwa Zitto, Dr. Kitila, Samson Mwigamba na wengine wengi.

Kila tunapokutana na jina lako, hutufanya vile vile kuzilejea kumbukumbu za andiko lako linalosema ''JARIDA LA CHACHA ZAKAYO WANGWE MBUNGE WA TARIME'' ambalo linapatikana hapa,

Chacha Wangwe aibuka toka kuzimu | Tarishi Hauwawi

Katika Jarida hili, kuna kipande cha paragraph ambacho tulikichunguza na kugundua ndiyo kitovu cha mwanzo wa sheria ya Karma kwa baadhi ya viongozi na wanachama wa CHADEMA ambapo umesema,

WAPENDA HAKI NA USAWA TUTAZIDI KUKUKUMBUKA DAIMA!
 
unamatatizo sana wewe,ulivyoandika kwa kurupuka mi nilijua una la kuongeza. haya taja basi iyo tarehe sahihi ya kifo cha wangwe!

wewe ndo umekurupuka mkuu shame on you Chacha hajafa 28/7/2014
 
Tutakukumbuka Daima Chacha wangwe!
 
Huyu jamaa alikuwa mwiba kule Tarime hata kabla ya kuwa mbunge nimekumbuka mbali sana tngu sekeseke la kuwekwa selo na bado wananchi walimwelewa na urasta wake
 
Kuandika hivi ni kwamba kuhalalisha tukio kwamba CCM walimuondoa Imran Kombe na Nyie Mkamuondoa Chacha Wangwe au kusudio lako ni lipi.
unajaribu kujenga hoja kwamba CCM imefanya kwa wengi nyie Huyu mmoja tu kelele nyingi?

Sisi kina nani???
 
Back
Top Bottom