Asprin
Platinum Member
- Mar 8, 2008
- 68,271
- 96,398
Ni matumaini yangu kule aliko ndugu yetu Chacha Wangwe anapumzika kwa amani huku akiangalia jinsi Sheria ya Karma inayosema ''Whatsoever a man soweth, that shall he also reap''. inavyowatafuna viongozi na wanachama wa CHADEMA kwa sasa kama ilivyofanyika pia hivi karibuni kwa Zitto, Dr. Kitila, Samson Mwigamba na wengine wengi.
Kila tunapokutana na jina lako, hutufanya vile vile kuzilejea kumbukumbu za andiko lako linalosema ''JARIDA LA CHACHA ZAKAYO WANGWE MBUNGE WA TARIME'' ambalo linapatikana hapa,
Chacha Wangwe aibuka toka kuzimu | Tarishi Hauwawi
Katika Jarida hili, kuna kipande cha paragraph ambacho tulikichunguza na kugundua ndiyo kitovu cha mwanzo wa sheria ya Karma kwa baadhi ya viongozi na wanachama wa CHADEMA ambapo umesema,
WAPENDA HAKI NA USAWA TUTAZIDI KUKUKUMBUKA DAIMA!
RİD Comrade Horace Kolimba.