Respect, Protect and Love women but never take advice from a woman

Respect, Protect and Love women but never take advice from a woman

Haya mawazo yako hayawezi kuwa sahihi kwa kila mtu. Yanaweza kuwa mawazo sahihi kwenu, au yalikuwa sahihi kwa familia yako au ndugu zako au rafiki zako lakini usifikiri yatakuwa sahihi kwa kila mtu.

Mfano mwanamke wako amekushauri mfungue akaunti ya akiba kuwekeza kwa ajili ya watoto ada chuo na akakupa mfumo mzuri wa ni kiasi gani mjibane ili muwekeze halafu usifuate huo ushauri?

Sijui kwanini inspirational speakers mnakuwaga na formula kwenye maisha. Relax maisha hayafanani.
 
Halafu insperational speaker wa aina hii ndo wale watakwambia usioe mwanamke mwenye kipato au aliyesoma.

Kuna mmoja aliulizwa Mungu akikubariki ukapata binti utamsomesha?
 
Naunga mkono hoja, kazi za mwanamke kwenye ndoa zinajulikana. Mawazo, hisia, skili na tabia za mwanamke zinajulikana. As a man, never concur with a woman on facing serious matters. Never!
 
Ulipomalizia na "peace be upon you" inaonyesha wewe ni muislamu. Sio kosa lako ni kosa la malezi na mafundisho ulioyapata toka ukiwa mdogo kua mwanamke hana akili ya kujiongoza yeye ni mtu wa kuongozwa kila siku. Ila hata mama ako ni mwanamke yote uliosema yana apply kwake pia.
 
Mimi naunga mkono hoja. Wanaokupinga shauri yako..
 
Ulipomalizia na "peace be upon you" inaonyesha wewe ni muislamu. Sio kosa lako ni kosa la malezi na mafundisho ulioyapata toka ukiwa mdogo kua mwanamke hana akili ya kujiongoza yeye ni mtu wa kuongozwa kila siku. Ila hata mama ako ni mwanamke yote uliosema yana apply kwake pia.
Mama ake ndio aliyefanya kijana wake awe na akili hizi. Ukiwa na mama mwenye akili huwezi toa maoni kama haya kuna wengine wamekuwa successful in their lives coz walisikiliza ushauri wa wake zao na kuna watu Leo wamekuwa mbali Sana kimaisha kwa sababu ya mama au hata mashangazi zao au hata dada zao. Sasa ukiona mama kichwa maji una expect vijana wake watoe akili wapi kumbuka tuna spend more than 60% ya malezi tukiwa na mama zetu. Mama ndio msingi wa jamii yoyote ile ukiona kina mama vilaza jua hiyo jamii ina 80% vilaza
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom