Rais Magufuli aleta heshima mtaani, na wakati huohuo aleta ugumu wa maisha

juvenile davis

JF-Expert Member
Apr 13, 2015
4,752
4,449
Wakuu salaaaaam,
Hakika nyote naamini ni wazima kwa neema ya maulana. Kiukweli huyu Magufuli kaleta maafa kwa watu wa hali ya chini katika suala zima la kipato,ila wakati huohuo kaleta heshima sana mtaani.

Kaleta ugumu wa maisha kwa sababu huku mtaani hali ni mbaya kiuchumi, hasa kwa wajasiriamali wadogo. Yaani biashara haziendi kabisa labda uuze chakula ndio utauza kwa kuwa ni kitu necessary in daily life.

Hali ni tete kiufupi,ila kaleta heshima sana, hasa kwa hawa dada zetu, maana zamani ilikuwa ni kawaida mwanamke hana kazi lakini anamiliki simu ya laki 4 hadi 8 hadi unashangaaa, kisa anahongwa na wanaume tu. Na ilikuwa ni kawaida tu na ilifika mbali wanawake walianza kuwadharau wanaume wa kipato cha chini.

Yaani ilifikia hatua mwanamke unampa 10000/20000 anakwambia hela gani,au anakwmbia hiyo haitoshi kabisa na hakutaki tena,kisa ni kwamba anahongwa hadi laki n.k,ila kwa sasa ukimpa Ten anakwambi "asante bby" haaaahaaa heshima inarudi
 
Kwa kweli hali ni mbaya mfano mimi nafanya biashara za Computer maintenance na accessories zake. Nimeagiza VItu DSM havipatikani na nilvyobahatika kuivipata vinauzwa kwa bei kubwa. Nadhani kufikia mwakani watabakia wafanyabiashara wachace sana na vifaa vya electronic vitapungua sana mtaani. Sijui tutakuwa na alternative gani ya kujiingizia kipato. Nahsisi WIZI utarudi kwa kasi sana huku kwetu wizi ushaanza kwa kasi sana
 
Wakuu salaaaaam,
Hakika nyote naamini ni wazima kwa neema ya maulana. Kiukweli huyu Magufuli kaleta maafa kwa watu wa hali ya chini katika suala zima la kipato,ila wakati huohuo kaleta heshima sana mtaani.

Kaleta ugumu wa maisha kwa sababu huku mtaani hali ni mbaya kiuchumi, hasa kwa wajasiriamali wadogo. Yaani biashara haziendi kabisa labda uuze chakula ndio utauza kwa kuwa ni kitu necessary in daily life.

Hali ni tete kiufupi,ila kaleta heshima sana, hasa kwa hawa dada zetu, maana zamani ilikuwa ni kawaida mwanamke hana kazi lakini anamiliki simu ya laki 4 hadi 8 hadi unashangaaa, kisa anahongwa na wanaume tu. Na ilikuwa ni kawaida tu na ilifika mbali wanawake walianza kuwadharau wanaume wa kipato cha chini.

Yaani ilifikia hatua mwanamke unampa 10000/20000 anakwambia hela gani,au anakwmbia hiyo haitoshi kabisa na hakutaki tena,kisa ni kwamba anahongwa hadi laki n.k,ila kwa sasa ukimpa Ten anakwambi "asante bby" haaaahaaa heshima inarudi
Pole sana mkuu yaelekea ulishanyang,anywa demu . Usijali hali mbaya kwa ss lazima akurudie tu
 
Kwa kweli hali ni mbaya mfano mimi nafanya biashara za Computer maintenance na accessories zake. Nimeagiza VItu DSM havipatikani na nilvyobahatika kuivipata vinauzwa kwa bei kubwa. Nadhani kufikia mwakani watabakia wafanyabiashara wachace sana na vifaa vya electronic vitapungua sana mtaani. Sijui tutakuwa na alternative gani ya kujiingizia kipato. Nahsisi WIZI utarudi kwa kasi sana huku kwetu wizi ushaanza kwa kasi sana
Mkuu mimi Jana kuna dawa nlinunuaga wk mbili zilizopita elfu 5 Jana Nimeenda duka la madawa et imepanda bei inauzwa elfu 12 nikaamua kujichemshia alovera nikanywa
 
Mkuu,, hata barabarani vurugu ya maroli ya ile kampuni ,,RIVER OIL,,sasa haipo tena zamani tulizoea kupishana nayo 50 yakienda na Mzigo 70 yakirudi kutoka kupakua mzigo nchi jirani.

Sasa hiv hata Lena wa kujifunza kuendesha gari anaweza kujifunza bila presure yoyote.
 
Mkuu mimi Jana kuna dawa nlinunuaga wk mbili zilizopita elfu 5 Jana Nimeenda duka la madawa et imepanda bei inauzwa elfu 12 nikaamua kujichemshia alovera nikanywa
Wafanya bishara wengi wanafunga sababu ya Kodi TRA wanabambika kodi kubwa kwa sasa na wanafuatilia sana. ngoja tusubiri tuone mwisho wake utakuwaje
 
Back
Top Bottom