Report ya mwana Dar es Salaam


Uko sahihi mkuu. Jamaa inabidi abadilike. Unless otherwise nyimbo zake zitaishia kuhit manzese.
 
[QUOTE
Kwa kweli pamoja na uzee huu ukipigwa kwenye harusi lazima ninyanyuke,mtaani huku vigodoro ndio hakunaga kabisaa
 
Nipo kwa Mangi hapa napiga kitu cha jogoo na banana huku napata ngoma ya mwana Dar es salaam.Shukria Ali Kiba.
 

kula like mkuu
 
Last edited by a moderator:
Yaani kitorondo raha yake ucheze mazenze huna kiatu vumbi kule hapo ndio mwake sasa stuttgut watatolea wapi vumbi ndio maana wakamkung'uta lazima uwe mzaramo ucheze kitorondo wewe bisha piga manzese uone watu wanvyoserebuka na kuacha kuuza mitumba hahaha
 
Kinachoendelea hapa ni kujaribu kumpandisha Kiba kinguvu na kumshusha Diamond kinguvu. USIKU MWEMA. "mdogo mdogo"
 
Hii nyimbo sasa imeshakuwa kero sasa ni kama nyimbo ya Taifa.
lakini Kiba mwenyewe alipohojiwa katika Mkasi alisema anataka kurudisha zile nyimbo ambazo zilikuwa zikiimbwa hazitoki vichwani na midomoni mwa wasikilizaji,yaani kuzifanya kuwa kama nyimbo za taifa. Na mifano akasema ni kama Vaileth ya Matonya na Latifa ya Mb Dog.
Kama hiyo nyimbo imekuwa hivyo kweli,nadhani atakuwa katimiza lengo lake.

"Nlikuwepo":bolt:
 
Yaan ilipigwa kitorondo mtaan mpaka utapenda s dereva tax abiria kituon madent walianza kucheza siku hiz kwenye masherehe maharus bila kitorondo sherehe haijanoga
 
mwana ndio habari ya mjini mkubali mkatae. KIBAAAAAAAAAAAAAAAAAAA
 
Mwana daresalamaaaa ndo habari yenyewe!

Nikiri tu kwamba mdogomdogo nitaangalia shooting audio haina mvuto.
 
mm ni mpenzi wa Kiba hata apige mluzi nitaupenda ila ukija kwenye Kitorondo na Mwanadsm dah zote ni sheeeedah kiukweli watz tuko juu kwa sasa tatizo letu ni moja tu lugha ya hivi vitu vyote vingeimbwa kwa yai vingeenda mbali sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…