Game Theory
JF-Expert Member
- Sep 5, 2006
- 8,546
- 898
To be honest with you, you are not alone!game theory you never cease to amaze me,
I think you need to talk to him nicely, and prove to him beyond any doubt that in any way or form you are not a Fisadi nor you are not related to any of them in any way or form. And lastly, you really love Tanzania dearely!!..i would really like to know the person behind this GT front...
for out of the blues and from nowhere you come out with a lot of substance-its my hope that you is located in Tanzania helping push the wheels of progress forward-salute
Huko nyuma nilisema kuwa huyu jamaa kapitwa na wakati...to me ni wazi kuwa bado yuko stuck kwenye enzi za politics of envy. Maana tangu ameingia hivi keshafanya lipi kubwa la kusema kuwa ahh hayo mambo ya Pinda hayo! and please dont get me started na hiyo kilimo kwanza
Huyu bwana hafany press conference, website ya ofisi yake HOVYO HOVYO tuu haina anything kuhusu policy za serikali anayoiendesha, if anything watendaji wengine serikalini wanamdharau tuu na last but not least naona atakumbukwa kama Waziri mkuu ambaye alitaka kupiga marufuku mawaziri kuvaa suti NA alitaka watembelee BAJAJI!
Narudia tena this is the most useless Prime Minister ever to breath in Tanzania if anything kwa kutaka kuleta politics of envy ni Stalinist in outlook, totalitarian by instinct, reactionary by nature, arrogant in character na mbaya zaidi naona kapewa cheo kikubwa kuliko uwezo wake
Hivi kila kitu mpaka akiingilie JK ndio kinafanyika?
Kutuambia eti hajui kwa nini Malaysia wameendelea wakati tulikuwa sawa nao kimaendeleo inabidi huyu Pinda arudi darasani asome au nashauri wapambe wake wamnunulie hivi vitabu
halafu aachane na kusoma udaku
si vibaya akawa anasoma gazeti la ECONOMIST kila wiki
Huko nyuma nilisema kuwa huyu jamaa kapitwa na wakati...to me ni wazi kuwa bado yuko stuck kwenye enzi za politics of envy. Maana tangu ameingia hivi keshafanya lipi kubwa la kusema kuwa ahh hayo mambo ya Pinda hayo! and please dont get me started na hiyo kilimo kwanza
Huyu bwana hafany press conference, website ya ofisi yake HOVYO HOVYO tuu haina anything kuhusu policy za serikali anayoiendesha, if anything watendaji wengine serikalini wanamdharau tuu na last but not least naona atakumbukwa kama Waziri mkuu ambaye alitaka kupiga marufuku mawaziri kuvaa suti NA alitaka watembelee BAJAJI!
Narudia tena this is the most useless Prime Minister ever to breath in Tanzania if anything kwa kutaka kuleta politics of envy ni Stalinist in outlook, totalitarian by instinct, reactionary by nature, arrogant in character na mbaya zaidi naona kapewa cheo kikubwa kuliko uwezo wake
Hivi kila kitu mpaka akiingilie JK ndio kinafanyika?
Kutuambia eti hajui kwa nini Malaysia wameendelea wakati tulikuwa sawa nao kimaendeleo inabidi huyu Pinda arudi darasani asome au nashauri wapambe wake wamnunulie hivi vitabu
halafu aachane na kusoma udaku
si vibaya akawa anasoma gazeti la ECONOMIST kila wiki
hapa hamna waziri mkuu!GT sawa kama Pinda hafai unampendekeza nani achukue nafasi yake kati ya hawa:- Juma Kapuya, Adam Malima au hata Ramadhani Dau!!!
hapa hamna waziri mkuu!
samahani kwa kujibu swali nisiloulizwa
GT sawa kama Pinda hafai unampendekeza nani achukue nafasi yake kati ya hawa:- Juma Kapuya, Adam Malima au hata Ramadhani Dau!!!
Nakubaliana nawe Pasco juu ya Pinda,Umdhaniaye ndiye kumbe siye, sasa amini nawaambieni, 2015 anaweza kuwa Pinda.
Jamaa ni makini ana hafanyi mambo for cheap publicity kama EL.
Mwaka 1995 pale Kilimanjaro Hotel, wakati Mkapa akitangaza kuchukua fomu, huku ameanamana na Kinana, Ruhinda, Peter Sakia Macha, Adv. Kapinga (RIP), alihojiwa prog ya Mada Moto ya DTV, akaulizwa kati ya wagombea wote wa urais kwa tiketi ya CCM, wewe ndio unaonekana weakest with no any track record umewahi kulifanyia nini taifa hili katika nyadhifa zako zote ulizoshashika, jamaa akasema mimi sijisifu wala sitaki credts zaid ya collective resiponsibilities, jamaa aliishida yeye. Ndivyo itakavyokuwa kwa Pinda. " Jiwe walilolikataa waashi, litafanywa kuwa jiwe kuu la pembeni (corner stone).
Mkuu bulesi heshima mbele,
Samahani naomba kuongeza kidogo nadhani umemsahau Mustafa Mkullo,Hawa Ghasia,Hussen mwinyi na Sofia simba.
Umdhaniaye ndiye kumbe siye, sasa amini nawaambieni, 2015 anaweza kuwa Pinda.
Jamaa ni makini ana hafanyi mambo for cheap publicity kama EL.
Mwaka 1995 pale Kilimanjaro Hotel, wakati Mkapa akitangaza kuchukua fomu, huku ameanamana na Kinana, Ruhinda, Peter Sakia Macha, Adv. Kapinga (RIP), alihojiwa prog ya Mada Moto ya DTV, akaulizwa kati ya wagombea wote wa urais kwa tiketi ya CCM, wewe ndio unaonekana weakest with no any track record umewahi kulifanyia nini taifa hili katika nyadhifa zako zote ulizoshashika, jamaa akasema mimi sijisifu wala sitaki credts zaid ya collective resiponsibilities, jamaa aliishida yeye. Ndivyo itakavyokuwa kwa Pinda. " Jiwe walilolikataa waashi, litafanywa kuwa jiwe kuu la pembeni (corner stone).