Remembering Bob

Remembering Bob

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
360,799
Reaction score
830,974
1406773824046.jpg
 
ire man!!
ni kweli bob aliukataa mkono wa nyerere au ni maneno ya vijiweni?
 
Unajua kiongozi,kuna watu wanajaaliwa kuwa na vipaji vya ziada ktk fani zao.Bob ni miongoni mwao.Sikiliza nyimbo yake yoyote,bila kujali imepigwa zamani kiasi gani,ujumbe wake bado una nafasi hata leo.Iwe ya mapenzi au ya siasa.Rest in peace Bob.

Nakuunga mkono, sababu kubwa inayofanya ujumbe wa LEGEND Bob Marley kuendelea kuwa na mashiko ni kwa kuwa siku hizi tunavisaka vipaji, tofauti na zamani vipaji vikiibuka vyenyewe kwa upako wa JAH.

"Here comes a judge" by Peter Tosh.
 
Maneno ya maana kutoka kwa Mwanafalsafa....Yeah peace and love.
 
"Here comes a judge" by Peter Tosh.[/QUOTE]Hicho nacho si kifaa cha kupuuzwa,Kiongozi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom