mzee wangu pia ndio mtu ktk familia yao aliyefanikiwa kwenda ulaya miaka ile ya 80,alirudi na dawa za meno, colgate nyingi sana akawa anatoa zawadi kwa ndugu zake, duu wakampachika jina la macolgate
Dayyym....you must be a psychic!!!Heheheheeee I know you!!
Tena LG P990
Dayyym....you must be a psychic!!!
Hahahhaah....try me!I can even tell you what kind of panties you are wearing. You want me to? Lol
Kwahiyo mpaka leo wangapi mmefika darisalamu??lakini ndo mwanzo mzuri....
tukiweka rekodi hata kama za ajabu mwisho watoto na wajukuu wataweka rekodi za maana....
tuweke kumbukumbu vizuri....
Hahahhaah....try me!
Orait....I'll do it in private b'cause I don't want you to feel embarrassed. So allow me to send you a PM and we'll take it from there....
Kwahiyo kumbe wewe sio wa kwanza??Huna rekodi bwashe!ha ha haaaaaa funny unajua babu yangu aliwahi kujenga kariakoo enzi hizo
i wonder kama ingekuwa a different story ingekuwaje???????
Pesa ndo itafanya kila mtu akukumbuke....Duh mie nafikiria bado familia imesoma hata babu yangu aliendaga ulaya miaka ya 50s 60s na wenzake walienda.
Nadhani kusoma kujiendeleza kuwa na pesa zinaleta heshima as wengi hata wasio ndugu wanakuabudu haswa ukiwa na roho nzuri ya kutoa hata wanao wataheshimika mbele as wazazi husumulia watoto etc
Na hii inanisaidia hadi leo kuheshimika masehemu sababu ya walichofanya wazee. Hivyo kuna budi kuendeleza kuliweka jina lilipo bila kuharibu
Oya
nataka kuweka ya wake watatu....lol
Mimi nashikilia rekodi ya kufeli darasa la saba, kufeli fom foo, kufeli fom siksi na hatimaye kupata bahati ya kuja ughaibuni (kwa kutumia bank statements za Salamander) na kuwa wa kwanza katika familia kuwa mbeba maboksi.
kwa kweli umenifurahisha