Man Jau
JF-Expert Member
- Apr 8, 2011
- 538
- 825
No..Mimi mwenyewe naamini katika nadhari hii,na ukifikiri kwa kina unaweza kubalianana nadharia hii,hebu jiulize tangu dunia iwepo hadi sasa ni miaka bilioni kadhaaa,na dunia imekaliwa na watu wengi sana tangu kuumbwa,je nao hao wafu wa miaka ya nyuma wanasubiri ufufuo huu wa yesu!? Maana yesu kaja hivi karibuni,hivyo ni kweli ukifa unazaliwa kiumbe kingine tena,and that is how life goes in rotation sababu nature inafaidika na uwepo wa binadamu katika dunia
Kwa upande wa imani ya kikristo..ukisoma vizuri biblia inaelezea vile ufufuko wa mwisho ila watu hawaelewi vizuri kwa sababu biblia inaongea nusu na nusu ingine inakuja ukishaamini.
Kulala kidogo ni kuwa nafsi yako ndio inaenda mahala fulani na kupumzika.
Huko wapo watu wote tangu kuanza kwa dunia...maana sio miili..no..bali ni nafsi.
Huko watu wanasubiria hukumu ile ikifika.
Sina uhakika sana ila nadhani hii inawahusu qale woote waliobatizwa na kukiri katika imani ya kristo.
Wataalamu wa dini hii watanisaidia ila nahisi inaanza kuhesabika baada ya uwepo wa kristo...maana yeye ndio aliyekuja duniani kumkomboa mwanadamu kwa kuchukua funguo za kuzimu..n.k.
Kwa imani zingine..zina namna yake na maelekezo yake..na huenda wana mbingu zao..na namna zao za hukumu siku ya mwisho.
Nadhani hapa unavhotakiwa kujua na kutofautisha ni kuwa kuna ulimwengu wa mwili si sawa na ulimwengu wa roho.
So, uwe makini
Sent from my SM-A310F using JamiiForums mobile app

