Registration SUA

angelstars

Member
Joined
Jul 31, 2018
Posts
11
Reaction score
2
Habari, jamani kwa wale waliyofabya registration SUA for bachelor degree nahitaji msada wenu, Nimekwama kwenye malipo kwa njia ya simu,wamenitumia kumbukumbu no/reference no lakin hawajanitumia no ya kampuni,,,nimeangalia kwenye website yao lakini hamna kitu
na nimewatumia email hawajanijibu mpaka leo
Mwenye kujua anisaidie
 
Kwa kumbukumbu nilizo nazo ni kwamba ukilog in kama huja lipia system yao ina kupa taarifa namna ya kulipa na inakuonesha Reference namba ya kulipia.

Labda kama sijaelewa ulicho uliza mkuu.
 
Hakuna namba ya kampun. Kuna reference namba tu ...unatuma kwenda CRDB. Reference namba ina simama kama account namba
 
Kwa kumbukumbu nilizo nazo ni kwamba ukilog in kama huja lipia system yao ina kupa taarifa namna ya kulipa na inakuonesha Reference namba ya kulipia.
Maelekezo kwa M-Pesa
Through m-pesa
1. Dial *150*00#
2. Select 1 (Send Money)
3. Select 4 (To Bank)
4. Select 1 (CRDB)
5 Select 1 (Enter Reference)
6. Enter amount (Enter 10,000/=)
7. Enter M-PESA PIN (Enter your account PIN)
8. Enter 1 (Press Confirm)
Labda kama sijaelewa ulicho uliza mkuu.
 
Kwa kumbukumbu nilizo nazo ni kwamba ukilog in kama huja lipia system yao ina kupa taarifa namna ya kulipa na inakuonesha Reference namba ya kulipia.

Labda kama sijaelewa ulicho uliza mkuu.
Ndiyo wamenipa reference no,,,na ukilipia kwa njia ya m-pesa,kabla ya kuweka hiyo reference no si wanakwambia uweke kwanza no ya kampuni???
 
Sua hawana namba ya kampuni kwa sababu ni unalipia bank CRDB kwa kutumia mpesa au tigo pesa au bank wenyewe so hapo cha muhimu ni reference number tu no need of namba ya kampuni
 

Angalizo: Hiyo reference number hapo ni kama mfano tu wewe utatumiwa yako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…