Regina Lowassa - Shujaa wangu

Ningefurahi sana endapo angekuwa mbunge wa Vito maalum.... Ni mpiganaji.
 

umenena kwa machungu makubwa nadhani ulitoa chozi na halitapotea bure mungu atalipa.
 
Regina Lowassa ni Mama mfano wa kuigwa !
Mstaarabu, mueledi shujaa, mzalendo, na mtetezi wa wanyonge !
 
Kweli kabisa ni miongoni mwa wanawake wapigania haki
 
Kuna Mchungaji alishika Mpododo wa Mama sijui aliwaza Nini kwa kweli? Au alidhan Mama Charge ipo full sana kwa kuwa Mzee hapigi simu kutokana na ubize wa kampeni
 
Nimejuzwa kuwa mama Regina alikuwa mwalimu Ilboru sekondari.Ana hekima Sana halafu ana udhubutu WA hali ya juu kweli anahaki ya kupewa ubunge viti maalumu.
 

Ataingia bungeni. labda akatae mwenyewe.
 
Tutampa tu kwani hakuna namna nyingine ya kumkwepa na hii haki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…