Huyu mama, Mungu aniwie radhi, ila angekuwa mama yangu, ningejiona mfalme mbinguni! She's very smart and bright!
Huwezi mlinganisha na wake wa marais wote ambao tumewahi kuwa nao nchi hii... Nilitamani sana awe first lady, tungeona mabadiliko makubwa sana ktk ofisi yake, na watangulizi wake...!