Ziroseventytwo
JF-Expert Member
- Mar 27, 2011
- 7,979
- 13,631
Dada Regia Mtema,tangu kumalizika kwa uchaguzi mkuu october 2010, ambao baada ya wewe kuchakachuliwa na kumwingiza bungeni yule (zuzu) mteketa, hujaonekani tena, kisiasa zaidi. Nadhani unakumbuka jinsi ulivyo sambaratisha ngome za CCM kwa muda mfupi, nataka kukuhakikishia 85% ya watu hapa wamebadilika na ni CHADEMA pure ingawa hawana kadi.
Kwa kung'oa CCM masalia napendekeza andaa kama mikutano 5 ya nguvu. Tuletee na makamanda wa3, mzee wa 'mzuka' Godbless Lema, John Mnyika na mzee wa anga Freeman mbowe.
Ukichanganya na ukali wa maisha, mfumko wa bei + kuichukia CCM, mtakuwa na kazi rahisi kama kumumunya "udongo" .
Nawasilisha
Kwa kung'oa CCM masalia napendekeza andaa kama mikutano 5 ya nguvu. Tuletee na makamanda wa3, mzee wa 'mzuka' Godbless Lema, John Mnyika na mzee wa anga Freeman mbowe.
Ukichanganya na ukali wa maisha, mfumko wa bei + kuichukia CCM, mtakuwa na kazi rahisi kama kumumunya "udongo" .
Nawasilisha