Wakuu,
Kwa kuwa jana Waziri mkuu Pinda alisema kuwa Rais atashirikiana na Chadema kumwaga Mpambanaji Regia Mtema huko ifakara na,
kwa kuwa Dr Slaa naye ameshakwenda Ifakara kwa ajili ya kazi hiyo.
Je, si ndio itakuwa siku ya kwanza kwa JK na Dr Slaa kukutana uso kwa uso? Au mmoja atamkwepa mwenzake?
Nini impact ya tukio hilo kwa JK /Dr Slaa (kama itatokea?)
Nawasilisha.
Kwa kuwa jana Waziri mkuu Pinda alisema kuwa Rais atashirikiana na Chadema kumwaga Mpambanaji Regia Mtema huko ifakara na,
kwa kuwa Dr Slaa naye ameshakwenda Ifakara kwa ajili ya kazi hiyo.
Je, si ndio itakuwa siku ya kwanza kwa JK na Dr Slaa kukutana uso kwa uso? Au mmoja atamkwepa mwenzake?
Nini impact ya tukio hilo kwa JK /Dr Slaa (kama itatokea?)
Nawasilisha.