Regia alimkwepesha pacha wake na ajali

Regia alimkwepesha pacha wake na ajali

Natamani siku ifike azikwe nipunguze maumivu haya......naumia kusikia habari za kifo cha Regia.Mungu anisaidie na atusaidie watanzania kwa ujumla wetu.
 
Hivi Remija siyo mwanachama humu?

Tutajuaje sasa na Majina ndiyo kama hayo ya NYANI NGABU. Nani atakutambua Boss!!

Tumpe Pole tu ndicho kitu tunachoweza kukisema na kukifanya kwa wakati huu mgumu kwao
 
Pole sana Remija tupo pamoja nawe katika kipindi hiki kigumu.
 
pole sana remmy...!

mungu akupe nguvu
 
Nasikia na mfanyakazi wake nae amefariki?
 
anaweza kuwa mwanachama, ila kwa kuwa ni mtumishi wa serikali ameshindwa kujitambulisha kulinda kibarua chake. Tupo wengai watumishi wa serikali tukito majina yetu, kibarua kitaota majani.

alikuwa member na alitumia avatar na
jina lake la ukweli
tumempoteza mtu muhim sana
 
Siku za mwanadamu za kuishi hapa Duniani ni chache, ni miaka 80 ikizidia sana ni miaka 90 na zimejaa taabu na mahangaiko mengi. Lakini yatupasa kujipa moyo kwa kuwa kuna maisha mazuri baada ya hapa. Kwa kupitia ukurasa huu nami natuma salaam za rambirambi kwa familia yote ya Mtema, Wabunge ,JF na CHADEMA kwa kupotelewa na kijana shupavu. Na HAKIMU mwenye haki airehemu roho yake. Bwana alitoa, Bwana ametwaa jina lake lihimidiwe.
 
RIP Regia, tulikupenda mpiganaji na rafiki. Pole Remija na familia.
 
Pole Remija, Pumzika kwa amani Regia!
 
Back
Top Bottom