Poleni sana kwa Kifo cha Mh.Mbunge Regia,
Tumepoteza Kiongozi kijana ambaye alikuwa ni mtetezi wa wanyonge,
Wana Familia ya Regia ninawapa pole zangu za dhati kutoka ndani ya uvungu wa moyo wangu,
Pacha wa Marehemu pole sana na Mungu akutie nguvu,
Kazi ya MUNGU haina makosa,
Tumuenzi Regia kwa kuacha UFISADI hapa TANZANIA.
R.I.P REGIA