Reggae Roots

Reggae Roots

Burning Spear nampendea kwa vyombo vya mziki. Ukisikiliza kwenye Headphone nzuri, tuseme kuanzia US $ 150 kwenda juu (ukiacha Dre Beats na hizi za kununua jina) tuseme kama AKG, basi utasikiliza hizo sauti hadi unakubali umahiri wa jamaa. Anakuwa kama anawapiga Jazz ila jamaa wanapiga Reggae na wengine anawaongezea.

Katika hizo nyimbo, This Man naupenda zaidi, Think Stupid kiasi na Marcus Garvey umekaa kisiasa zaidi. Hebu ona hawa akina Mama wanavyopuliza saxaphone zao hadi unabaki kinywa wazi.


Burning Spear ni mkali, napenda pamoja na vibao vingine, This man, . . . think stupid, marcus Gavey . . . . . .
 
Last edited by a moderator:
Burning Spear nampendea kwa vyombo vya mziki. Ukisikiliza kwenye Headphone nzuri, tuseme kuanzia US $ 150 kwenda juu (ukiacha Dre Beats na hizi za kununua jina) tuseme kama AKG, basi utasikiliza hizo sauti hadi unakubali umahiri wa jamaa. Anakuwa kama anawapiga Jazz ila jamaa wanapiga Reggae na wengine anawaongezea.

Katika hizo nyimbo, This Man naupenda zaidi, Think Stupid kiasi na Marcus Garvey umekaa kisiasa zaidi. Hebu ona hawa akina Mama wanavyopuliza saxaphone zao hadi unabaki kinywa wazi.



Leo kama sehemu ya kuomboleza msiba wa Tata Madiba naomba kwa ruhusa yenu tuusikilize wimbo wa Barrington Levy uitwao "Mandela free"
japo katutoka Mandela anaishi pamoja nasi. RIP tata
 
Last edited by a moderator:
Sikonge ni kweli maneno yako wala macho hayakukudanganya, hawa wamama si mchezo, wanamapafu hatari kwakweli nimefurahia link ulioweka.
 
Last edited by a moderator:
Niwashirikishe kwenye kibao bora cha reggae kwa leo

"downpressor man" by Peter Tosh
ujumbe uwafikie maccm wote pale Lumumba.
 
Napenda Sweet Reggae
1. Beres hammond-the gonna talk 2. Alpha Blondy-Ca me fait si mal
3. Aswad-Heartbeat
4. Maxie Priest-Wild World
5. Boris Gardiner-Commanding Wife
6. Boy George-I'll give every thing

shukran sana
 
naomba mnisaidie jina la hii nyimbo .Chorus anaimba
i'm standing on the mountain top
of mount kilimanjaro
the highest mountain in africa
There i see vision
 
Bob is no. One but kuna huyu mtu alpha blondy napenda sana,
-ca me fait si mal
-science sans conscience
 
i. here comes the judge- peter tosh
ii. pride and shame -peter tosh
iii. rat race -peter tosh
iv. johnny be good - peter tosh
v. brand new second hand - peter tosh
vi. you gotta walk and don't look back- peter tosh
vii. redemption song- bob marley
viii. waitin in vain - bob marley
ix. satsfy my soul - bob marley
x. she is gone- bob marley
 
Top ten yangu ni kama ifuatavyo:
1.Mellow Mood -Bob Marley
2. Glass House - Peter Tosh
3. Its Me again Jah- Luciano
4.Jah Rastafari- Joseph Hills Culture
5.Beau la Land- Glen Washington
6. Bunny Wailer- Happening in Jamaica
7. Plead my Cause - Capeltone
8. Come back Jesus- Alpha Blondy
9. Destiny- Buju Banton
10. Crucial - Nasio Fountain
....ila kuna nyingine ambazo kiukweli nazifeel sana na kama ni timu ya mpira basi ni ndiyo sub...
1. Love is my religion - Ziggy Marley
2. If you wana go - Fred Mc Gregory
3. House of exile- Lucky Dube
4. Lions of Judah- Israel vibrations
5. Nuttin to smile about- Morgan Heritage
6.Sophia George- Girlie girlie
7. Mama- Sizzla
8. Fanta Dialo- AlphaBlondy
9. Send a prayer-Gentleman
10. Come down father- Berres Hamond
11. Thank you Lord- Bob Marley
12. Time will tell- Bob Marley
13. God bless the women- Lucky Dube
 
Mmm jaman nimewakubali ,kwani kuna Nyimbo za reggae nshazisahau ila kupitia humu Jf nimezikumbuka,big up wakuu
 
Three little birds-Bob Marley
I'm coming home-Morgan Heritage
Who feels it knows it-Romain Virgo ft Etana
She's royal- Tarrus Riley
Rock it with me-Kingly T
I wanna go hme-Alborosie
Yes I know-Elaine
 
1.Max Romeo & The Upsetters-One Step Forward
2.The In Crowd-His Majesty Is Coming
3.Don Carlos-Crazy Girl
4.Jacob Miller-Forward Ever Backward Never
5.The Gladiators-Sweet So Till
6.Junior Murvin-Police & Thieves
7.Misty And Roots-Wise And Foolish
8.Mighty Diamonds-Identity
9.Klearview Harmonix-Wanted Man
10.Israel Vibration-On Borrowed Time
 
Mie bwana kuna wimbo flani sijui nani kaimba but it goes like Jah shall wean out the bad weeds yeah and separate them from from the good 'coz the day of Judgement is near woooooh oooh ooh. Ha ha.
Don carlos-harvest time
 
Nyimbo zote za Winston Hubert McIntosh "Peter Tosh"

Ila #1 ni "Legalize It"
 
Back
Top Bottom