cocastic JF-Expert Member Joined Nov 30, 2019 Posts 112,101 Reaction score 181,132 Feb 25, 2025 #21 Match yoyote ya Simba akichezesha arajiga macho kengeza, huwa ni vigumu Simba kushinda, yaan atalazimisha iwe sare au Simba afungwe. Shabiki lia lia wa utopolo, silipendi hili libaba, mxxxiiiieeew
Match yoyote ya Simba akichezesha arajiga macho kengeza, huwa ni vigumu Simba kushinda, yaan atalazimisha iwe sare au Simba afungwe. Shabiki lia lia wa utopolo, silipendi hili libaba, mxxxiiiieeew
magnifico JF-Expert Member Joined Jan 14, 2013 Posts 13,271 Reaction score 31,846 Feb 25, 2025 #22 rodrick alexander said: Refa bomu ndio maana kashindwa kutoA penati y wazi kis ataonekana anaibeba simba kadi nyekundu kwwa feisal kwa kuogopa lawama Click to expand... Mkuu haya ndio mambo ninayosema kila siku. Ukiwa biased huwezi kumaliza tatizo la uamuzi mbovu. Kwa hiyo umeona kadi nyekundu ya Feisali ila ya Ngoma hujaiona?
rodrick alexander said: Refa bomu ndio maana kashindwa kutoA penati y wazi kis ataonekana anaibeba simba kadi nyekundu kwwa feisal kwa kuogopa lawama Click to expand... Mkuu haya ndio mambo ninayosema kila siku. Ukiwa biased huwezi kumaliza tatizo la uamuzi mbovu. Kwa hiyo umeona kadi nyekundu ya Feisali ila ya Ngoma hujaiona?
Mad Max JF-Expert Member Joined Oct 21, 2010 Posts 31,147 Reaction score 88,821 Mar 5, 2025 #23 Hanaga baya