[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] sorryyyWapi Radio Pendwa.......Uhuru FM...
Hoja Mufilisi na Screenshot zote hizo? Dah!Wewe mtoa Uzi utakuwa mtangazaji hapo clouds,No,I meant utakuwa one of the big fish hapo mawingu.
Na wewe ukiwa kama big fish ulitakiwa ku-impove ratings na siyo kuleta hoja muflisi hapa.
Nakubaliana na wewe lakini sasa wasipike data mkuuE FM kiukweli imefanya mapinduzi halisi katika suala la radio station,kutokana na ubunifu kiukweli Wanasepa na JIJI ni Kama Msanii mpya aje kuchukua utawala wa Ali Kiba au Diamond katika bongo fleva pia Efm inatufundisha kwamba inawezekana Ukafanikiwa iwapo utajituma,Binafsi Nasikiliza radio zote but kutokana na kipindi husika lakini sana E FM na Clouds FM.
Startimes.Hiyo TV E inapatikana kwenye king'amuzi gani jombaa?
hiz za kupika....Habri wanaJF,
Redio ya E-Fm imekuwa ikitoa taarifa ambazo sasa zimethibitika kuwa ni za kupikwa zinazoonyesha kuwa wao ndio wanawasikilizaji wengi kuliko vyombo vingine kwa jiji la Dar es Salaam.
Hatukatai watu wa E-Fm wanafanya sana kazi. Sasa wajuvi wa mambo wamezama ndani na kuibuka na ukweli wenyewe;
Na kwa wasiojua Geopoll ndo watoaji wakuu wa takwimu za Radio na Tv nchi nyingi Africa. Kwa Tanzania ndio watoaji pekee
Hii ni taarifa ya kupikwa ya E-Fm Redio,
Na hizi ndio data za kutoka kwenye source za ndani,
View attachment 424074
View attachment 424138
View attachment 424139
Taarifa hizi ni Kwa msaada wa Ukurasa wa Twitter wa Ndugu: @salim_alkhasas
Hiyo avatar yako inaendana na TbcMie na TBC, TBC na Mie
StartimesHiyo TV E inapatikana kwenye king'amuzi gani jombaa?