Unachukua mafuta unayakaanga then unachukua mdalasini unamimina kikaangoni. Baada ya hapo unachukua mpunga unachanganya na maji ya moto, hakikisha hutumii chumvi kama una presha. Then wakati mchele unakaribia kutoa rangi unachanganya na nyama ya mbuzi lakini hata ya bata fresh tu. Sasa pilau yako iko tayari kuliwa. Yafaa kuliwa na juice ya ukwaju au makomamanga utakavyopenda wewe mwenyewe
Thanx a million buddy!
Thanx a million buddy!
mmmh....hiyo recipe kiboko.....
mi nakushauri ugoogle au uingie kwenye blog ya chef issa au jaydee unaweza kutoka na chochote......
mnh lol.mie sijui kupika pilau ila huyo kaka hapo kakuingiza machakani,pilau ina viungo vingi kitunguu saumu,mdalasini,iliki etc
Mkeku we unachojua ni kupika macharari tu lolmmmh....hiyo recipe kiboko.....
mi nakushauri ugoogle au uingie kwenye blog ya chef issa au jaydee unaweza kutoka na chochote......
Mkeku we unachojua ni kupika macharari tu lol
mnh lol.mie sijui kupika pilau ila huyo kaka hapo kakuingiza machakani,pilau ina viungo vingi kitunguu saumu,mdalasini,iliki etc
Jamani wali mmoja mapishi tofauti:...........................i wish anialike nionje hilo pilau lake la mafuta, mchele, mdalasini chumvi na maji tu mbona kaziiiiiiiii .
Hebu ingia kwa web hii ujipatie misosi bomba
Vipimo
Mchele wa basmati 3 vikombe
Kuku ½
Viazi 4
Vitunguu 2
Thomu iliyosagwa 2 vijiko vya supu
Binzari ya pilau nzima 1 Kijiko cha chakula
Binzari ya pilau ½ kijiko cha chai
Pilipili manga nzima ½ kijiko cha chai
Karafuu nzima 8
Iliki nzima 6
Mdalasini nzima 5 vijiti
Pilipili mbichi iliyosagwa 2
Chumvi kiasi
Mafuta ya kupikia ¼ kikombe
Namna Ya Kutayarisha Na Kupika:
Osha mchele na roweka kwa muda kutegemea na aina ya mchele.
Kata kuku vipande upendavyo, safisha kisha mchemshe kwa chumvi, pilipili iliyosagwa, thomu na tangawizi.
Akiwiva kuku, mtoe weka kando, bakisha supu katika sufuria
Katika sufuria, kaanga vitunguu hadi vigeuke rangu ya hudhurungi.
Tia thomu na tangawizi na binzari zote kaanga kidogo
Kisha tia viazi kanga kidogo kisha tia kisha tia vipande vyako vya kuku na supu acha ichemke kidogo kisha tia maji ukisie kutokana na mchele unaotumia.
mwisho tia mchele koroga uchanganye na vitu vyote acha ichemke kiasi kisha funika na punguza moto mpaka uive (huku ukiugeuzageuza)
Ukishakuwa tayari pakua kwenye sahani tayari kwa kula na salad na pilipili.
Pilau Ya Kuku | Alhidaaya.com
Na mimi naomba kuelekezwa jinsi ya kumridhisha demu