yaser
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 1,361
- 299
katika hali ya kushangaza unapita ktk kampuni fulani kwa malengo ya kutafuta kaz,ila shida inakuja kwa wadada wa reception.anakuambia hapa kazi hakuna na huwa hatuajili.sasa cjui yeye kafikaje hapo.pia unamwambia basi naomba kuonana na HR anadai huyo mtu huwa haonani na wageni km nyie.kwa kweli hii hali co nzuri ukizingatia wote tuko kwenye kutafuta.we hapo ulipo co kwamba utakaa milele.jirekebisheni ili twende sambamba na midundo ya maisha.