Ndugu wadau
Ningependa kufahamishwa juu ya hili jambo linalohusu recateglrization kwamba kuna ndugu yangu ni Askari Polisi na ana degree ya Maendeleo ya Jamii akiwa na GPA 3.5 amefanya kazi kwa muda wa miaka mitano sasa lakini anataka kubadilisha aina ya kazi kutoka Polisi kwenda PCCB
Je inawezekana kubadili?
Je atumie utratibu gani?
Je akihama ngazi ya cheo ataanzia kipi?
Je ngazi ya mshahara itakuwa ni ipi?
Tafadhali naomba kuwasilisha
Ningependa kufahamishwa juu ya hili jambo linalohusu recateglrization kwamba kuna ndugu yangu ni Askari Polisi na ana degree ya Maendeleo ya Jamii akiwa na GPA 3.5 amefanya kazi kwa muda wa miaka mitano sasa lakini anataka kubadilisha aina ya kazi kutoka Polisi kwenda PCCB
Je inawezekana kubadili?
Je atumie utratibu gani?
Je akihama ngazi ya cheo ataanzia kipi?
Je ngazi ya mshahara itakuwa ni ipi?
Tafadhali naomba kuwasilisha