Kubwjing
JF-Expert Member
- Aug 2, 2025
- 1,847
- 2,797
Sasa wanafanya hivyo kisa nini? Au kukomoana tuUnaanza na mshahara wa cheo kipya,kama wa zamani ulikuwa mkubwa unashushwa
Sasa wanafanya hivyo kisa nini? Au kukomoana tuUnaanza na mshahara wa cheo kipya,kama wa zamani ulikuwa mkubwa unashushwa
Kuna baadhi ya kada wamebadili muundo, unaanza na daraja E sio DSasa wanafanya hivyo kisa nini? Au kukomoana tu
Kama kada ipi?Kuna baadhi ya kada wamebadili muundo, unaanza na daraja E sio D
HR ukifanya recate unaabza na EKama kada ipi?