Kubwjing
JF-Expert Member
- Aug 2, 2025
- 2,682
- 4,756
Sasa wanafanya hivyo kisa nini? Au kukomoana tuUnaanza na mshahara wa cheo kipya,kama wa zamani ulikuwa mkubwa unashushwa
Sasa wanafanya hivyo kisa nini? Au kukomoana tuUnaanza na mshahara wa cheo kipya,kama wa zamani ulikuwa mkubwa unashushwa
Kuna baadhi ya kada wamebadili muundo, unaanza na daraja E sio DSasa wanafanya hivyo kisa nini? Au kukomoana tu
Kama kada ipi?Kuna baadhi ya kada wamebadili muundo, unaanza na daraja E sio D
HR ukifanya recate unaabza na EKama kada ipi?
Kada nyingine ni ipi?HR ukifanya recate unaabza na E
Kwa muongozo uliopo, jibu ni ndio. Kama una mpango huo wa kusoma bora usome mapema sasa hivi kuepuka hizo inconvenienceSorry, recategirization ndio ikoje. Je kwa mwalimu mwenye diploma akaenda kujiendeleza Degree ya ualimu maybe after miaka 9. Mnataka kunambia atarudishwa TGTS D?
Walioandaa huo muongozo wajitafakariKwa muongozo uliopo, jibu ni ndio. Kama una mpango huo wa kusoma bora usome mapema sasa hivi kuepuka hizo inconvenience