Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 32,062
- 43,489
mambo zenu
i want to share this trick kwa watumiaji wa simu ambao ni wavivu wa kutumia proxy
kuna kitu kinaitwa real host kinamuwezesha mtumiaji kutumia net ya bure kama kuna acses ya free site
unachotakiwa kufanya downlod mafile kutoka link ntakayokupa hapo chini(opera mini na ucweb) na fata maelekezo haya
utadownload na kuistall/ku open either opera mini au ucweb au ukitaka download yote
ukiopen hizi software zako utaona handler menu click kwenye network setting then shuka chini utaona proxy type click hapo then chagua real host
kwenye proxy server andika 0.facebook.com (bila http)
then click ok ur done enjoy free net.
Note: mara ya kwanza hutumia mda kuload so kua mvumilivo soft ziikiji install
link ya kudownload opera na ucweb za real host hii hapa
real host opera and ucweb
nasubiria matokeo toka kwenu
i want to share this trick kwa watumiaji wa simu ambao ni wavivu wa kutumia proxy
kuna kitu kinaitwa real host kinamuwezesha mtumiaji kutumia net ya bure kama kuna acses ya free site
unachotakiwa kufanya downlod mafile kutoka link ntakayokupa hapo chini(opera mini na ucweb) na fata maelekezo haya
utadownload na kuistall/ku open either opera mini au ucweb au ukitaka download yote
ukiopen hizi software zako utaona handler menu click kwenye network setting then shuka chini utaona proxy type click hapo then chagua real host
kwenye proxy server andika 0.facebook.com (bila http)
then click ok ur done enjoy free net.
Note: mara ya kwanza hutumia mda kuload so kua mvumilivo soft ziikiji install
link ya kudownload opera na ucweb za real host hii hapa
real host opera and ucweb
nasubiria matokeo toka kwenu