I IshaLubuva JF-Expert Member Dec 4, 2008 250 11 Aug 8, 2011 #1 Watu wako serious na biashara, Real Madrid wamemsajili mtoto mwenye kipaji cha aina ya Mesi. Habari zaidi bofya kwenye kiunganishi hapo chiniReal Madrid sign seven-year old named Leo - ESPN Soccernet
Watu wako serious na biashara, Real Madrid wamemsajili mtoto mwenye kipaji cha aina ya Mesi. Habari zaidi bofya kwenye kiunganishi hapo chiniReal Madrid sign seven-year old named Leo - ESPN Soccernet
Ozzie JF-Expert Member Oct 9, 2007 3,217 1,259 Aug 8, 2011 #2 Japo wanalipwa vizuri, lakini hii si tofauti na utumwa. Mtoto wa miaka saba katoa wapi maamuzi ya kusajiliwa. Hizi ni tamaa za pesa za wazazi.
Japo wanalipwa vizuri, lakini hii si tofauti na utumwa. Mtoto wa miaka saba katoa wapi maamuzi ya kusajiliwa. Hizi ni tamaa za pesa za wazazi.