Belo
JF-Expert Member
- Jun 11, 2007
- 12,882
- 10,193
Chelsea ile sio hii na Bayern ile sio hii,hii Bayern imetengenezwa upya ya wachezaji vijana na wengi wametoka kwenye academy yao.Backbone ya timu ya Ujerumani yote iko Bayern(Neur,Alaba,Lahm,Badstuber,Boateng,Lahm,Kroos,Muller,Bastian,Gomez)chelsea tulishawachapa hawa tena nying sana kipnd cha mournh tena kocha alkuwa ktk ban atua ya robo fainal,