Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Zidane has never faced Liverpool FC in his professional career as a player.

33361561_2004226239602126_7100515250293702656_n.jpg
 
Ni vizuri wanaichambua Real Madrid, wanasahau weakness za Liverpool.
Si kwamba wamesahau weakness za Liverpool, ni roho tu zinawauma, watasemaje sasa wakati furaha yao ni Real Madrid wafungwe!!? Ngoja tu hiyo kesho tuwasaidie kuwaonyesha weakness za Liverpool
 
The pre-season was a mess, but I knew we'd turn up. Smoked United and Barca for the Super cups, what a grand opening...Now on the verge of a historical CL treble, and a European double for the institution...what a grand closing that will be.

To all the real ones, I wish y'all a great one. The game's Real Madrid's to lose and losing is not a option. A por la 13th, see y'all at the Cibeles and Bernabeu tomorrow.

Hala Madrid!!!
 
Tatizo sio Liverpool kufungwa na wabebwaji Madrid, tatizo ni Liverpool kutowafunga wabebwaji goli za ushindi.
 
Back
Top Bottom